ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mjinga kabisa huyu kwenye ublakish wake ningeweza muongo hata Alteza.....alivyobadirika....hata bure sipigi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mtu mmoja au? Mbona sura mbili tofauti kabisa, acha weupeAnakimbia rangi adimu, jamani wanawake weusi wanapotea duniani.
Katika vitu vinavyoendelea kupotea duniani ni pamoja na wanawake weusiAnakimbia rangi adimu, jamani wanawake weusi wanapotea duniani.
Sky hapana, mweusi ana uso wa mviringo, mpana mweupe the opposite! Siyo mtu yule yuleAnakimbia rangi adimu, jamani wanawake weusi wanapotea duniani.
unasema toka moyoni? huoni alivyotokelezea. hapo katoka rangi ya kushindia hadi ya kutokea.dah kajiharibu sasa bora alivyokuwa cheusi
Kapendeza haswaaIla mi naona alivo kuwa mweupe kawa vizuri kweli
Asa sijui ndo macho yangu tuu!!!
AnhaaKapendeza haswaa
Mchina noma!Macho tu ndio hayajabadilikaSky hapana, mweusi ana uso wa mviringo, mpana mweupe the opposite! Siyo mtu yule yule
Tumesanda, sasa hivi black ndio mpango mzima,,View attachment 396374 View attachment 396235 Mmmh mi hapo acha nimpende tu baada ya kuingia kwenye machine ya kukoboa!Hamna namnaView attachment 396235
Shikamoo mchina!
Hapo mi nachukue kitu kilichokobolewa!Hamna namna!Sio kwa uzuri huo jamanTumesanda, sasa hivi black ndio mpango mzima,,
Kwa kweli tena wanapotea kwa mwendo kasi.Anakimbia rangi adimu, jamani wanawake weusi wanapotea duniani.
Kilichokobolewa [emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125]Hapo mi nachukue kitu kilichokobolewa!Hamna namna!Sio kwa uzuri huo jaman
Anaetaka dona aende kijijini,mjini tunakula sembe tu!Kilichokobolewa [emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125]