Wanakera kuna vijidudu watu humu wanadhani wenzao wao nihali ya chinii hata maji hawawezi nunua .
Yaani ukicomment ukisema chochote wewe ni mdangaji eh hivi tanzania nani anataka kuolewa humu watu wanataka kuolewa nje eti wapate air fresh sio humu tokea uzaliwe unaishi tu humu
Mambo ya exchange trade hayo..Nipe nikupe au sio
Muulize katoto kazuriKuna nini kwani?
Muulize katoto kazuri
Ya ttcl? Nakutumia soon
wapi ??Mmh. Naenda kusema Shem.
Haaahaaa...Hajar mchokozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani na humu wamo eee?
[emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Naona mapichapicha
Nitakutumia utaona PM. Kabla siku haijaisha utapata vocha ya ttcl gentleman wewe [emoji23][emoji23][emoji23]Eti soon [emoji23][emoji23]
Tuone huo utoaji wako kwa ma-gentlemen
Wanaombana! Hata wanaume wanaomba sanaKama mna hela mbona mnakua omba omba(wengi wenu)
Stress mbaya...haki shost hayuko poa anahitaji maombi, hata simuelewi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumekucha
kwa nini unagongwa na watoto?Hahahaaa. Ila kama mie huwa namuwekaga upande wa ile Id yake basi najikuta najijibu mwenyewe tu kwamba hajamature bado hivyo utoto nao sometimes huwa ni tatizo.
Ha haaa nikadhani wewe utakuwa unamuelewaStress mbaya...haki shost hayuko poa anahitaji maombi, hata simuelewi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaume wanaomba nini?? Najua wanachoomba ni papuchiHalafu mambo yalivyo badilika siku hizi wanaume ndio mmekua ombaomba matonya asubiri. Mkija huku mnabadilisha maneno
Hayuko poa huyu dada namuonea huruma[emoji22] [emoji26]Wacha weh
HarudishiIla kukopa si kuomba
Nitakutumia utaona PM. Kabla siku haijaisha utapata vocha ya ttcl gentleman wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaomba omba hela.Wanaume wanaomba nini?? Najua wanachoomba ni papuchi