Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Ulitaka kuolewa humu?

Duh nikajua unavyoandika meseji zako hazieleweke nikadhani wa maana kumbe hopeless tu ndugu yangu, kama wanaokuona huko hawajakuoa iweje sisi huku? Tulia utaolewa tuu la sivyo utachezewa mnoo
 
Sasa hivi namtumia nauli ya ndege aje home
 
Aisee bonge la idea
 
Duh
 
Kwanini wanakusingizia?
 
Ulitaka kuolewa humu?

Duh nikajua unavyoandika meseji zako hazieleweke nikadhani wa maana kumbe hopeless tu ndugu yangu, kama wanaokuona huko hawajakuoa iweje sisi huku? Tulia utaolewa tuu la sivyo utachezewa mnoo
Sio jf na nyie ni watu nyie si invisible wote humu ni majini.
Nasemea tanzania nichezewe nanani humu ni vilaza tu ndio wapo hakuna mtu kama mtu wanaume waukweli wapo nje ya nchi wenye kila kitu kama wanaume huku mmeharibika kwa madawa na uchunwaji
 
Umepatwa na nini? Hebu tulia kwanza
 
Una mahesabu makali mkuu
 
Wewe utakuwa mdangaji kweli, mbona unajishtukia? Jiamini. Mbona wenzako kina shunie et al wametulia tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Naomba kujua umri wako
 
hata ww hapo sasaivi ukipata BF bill zote utamshushia yeye hapa utakataa lakini wanawake wote ni sawa tu.
 

Ulienda arusha ukata mwanaume jana nikaona uzi upo mwanza unataka mwanaume...halafu unataka kuolewa JF?

Uchi huo huo mmoja?!
 
Ishu ya kuombwa hela nadhani kina kaka kwa sasa mnaongoza jamani, mimi mpaka nimeamua mapenzi basi mnapiga vibomu mnooo mpaka unajiuliza huyu mpenzi au marioo, kwakweli mnakera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…