Angekuwa na hizo mali tusingepumua humuMkuu nimesoma thread zako nyingi wewe.....Unapesa yakwaida TU HUNA utajiri wowote ule...
Kumiliki gari ya kawaida ya kutembelea na iPhone Sio utajiri Mkuu...Ni maisha yakawaida hayo.
Mkuu tema mate chini, wewe kama umebarikiwa kuwa na watoto mshukuru Mungu huna haja ya kukashfu wengineJe wewe umeshaolewa na kuzaa? Kuna wengine wanaolewa ila ni kama magalasa tu, hayazai wapo wapo tu na kujutia kwanini waliolewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angekuwa na hizo mali tusingepumua humu
Mkuuu....Watoto na Mali Ni rehema za mwenyezi Mungu..usimkashifu asie nazo..Je wewe umeshaolewa na kuzaa? Kuna wengine wanaolewa ila ni kama magalasa tu, hayazai wapo wapo tu na kujutia kwanini waliolewa.
Sijakashifu mtu....nimeuliza swali kwa aliyekuwa anakashifu wenzake wasioolewa.Mkuu tema mate chini, wewe kama umebarikiwa kuwa na watoto mshukuru Mungu huna haja ya kukashfu wengine
Usijichanganye, maliza kunya kwanza....sijamkashifu mtu.....nimeuliza swali kwa aliyekashifu wenzake wasio olewa.Mkuuu....Watoto na Mali Ni rehema za mwenyezi Mungu..usimkashifu asie nazo..
Hata zako zinaweza kukuponyoka ukabaki unahaha.
"Kuna wengine wanaolewa ila ni kama magalasa tu, hayazai wapo wapo tu "Usijichanganye, maliza kunya kwanza....sijamkashifu mtu.....nimeuliza swali kwa aliyekashifu wenzake wasio olewa.
Unadhani mna tofauti? Yeye amekashfu wasioolewa wewe umekashfu wasiozaa...ni walewale tuSijakashifu mtu....nimeuliza swali kwa aliyekuwa anakashifu wenzake wasioolewa.
Mkuu...Unajisikiaje pale wenzako wanavyojenga magorofa na kununua Range Rover na wewe upo umebung'aa TU?
What is meant to be yours will eventually reach you. vice versa is true
Kuna mwamba tukupeleka barua, tukapokelewa kwa nderemo na vifijo, tukaenda kutoa mahali Mil 2.7, akapangwa tarehe ya send off kabisa. Wiki 3 baadae baadae shemeji ananipigia simu analia eti jamaa hamwelewi amabadilika.........
Nikamwendea hewani mwamba, akawa amebadilika kbs hataki kusikia habari yyt khs yule shemeji na kwamba tusiongele tena hilo suala.... ndo ikawa imeishia hvy!!!
huu mfano wako umekosa shabaha Ms analyst, utajiri na mali Ni vitu vya kutafuta vikapatikana na ndio maana hata hao matajiri wanatofautiana utajiri pia. Mo ni tajiri Ila Mo mbele ya Gates Ni fukara mwenzetu tu.
Ndoa haitafutwi inakuja yenyewe freely na kama haiji kwako lazima ujiulize maswali why you? Huna mvuto au kuna kasoro gani Hadi wanaume hawakuoni!
Hiyo kauli yko mwishoni hapo ukishafikisha 30+ inakuwa batili na unaanza kuishi kwa mashaka.
Mkuuu...utajiri na Mali Ni rehema za Mungu...Kama ambavyo unaweza unatafuta Mali na ukaikosa..waweza pia itafuta Nusra na ukaikosa...huu mfano wako umekosa shabaha Ms analyst, utajiri na mali Ni vitu vya kutafuta vikapatikana na ndio maana hata hao matajiri wanatofautiana utajiri pia. Mo ni tajiri Ila Mo mbele ya Gates Ni fukara mwenzetu tu.
Ndoa haitafutwi inakuja yenyewe freely na kama haiji kwako lazima ujiulize maswali why you? Huna mvuto au kuna kasoro gani Hadi wanaume hawakuoni!
Hiyo kauli yko mwishoni hapo ukishafikisha 30+ inakuwa batili na unaanza kuishi kwa mashaka.
Wewe kuwa kwako na hela ya KUyabidili.Mboga TU..Mbona hujiulizi why me...Unakasoro Gani mpaka wengine wakapewa Mali na vyeo na majumba na ufalme..wewe ukakosa...UNADHANI ukitaka kitu ukakitafuta ndo lazima.ukipate..huu mfano wako umekosa shabaha Ms analyst, utajiri na mali Ni vitu vya kutafuta vikapatikana na ndio maana hata hao matajiri wanatofautiana utajiri pia. Mo ni tajiri Ila Mo mbele ya Gates Ni fukara mwenzetu tu.
Ndoa haitafutwi inakuja yenyewe freely na kama haiji kwako lazima ujiulize maswali why you? Huna mvuto au kuna kasoro gani Hadi wanaume hawakuoni!
Hiyo kauli yko mwishoni hapo ukishafikisha 30+ inakuwa batili na unaanza kuishi kwa mashaka.
Anasema tu siyo type yake, juzi kanitambukisha mwingine ananiambia ndo type yake na ndo atamuoa, nkamwambia sawa lkn sitahusika kwa lolote tafuta ndugu wengine wa kufanya hilo. Bora lawama....Jamani nini kilitokea? Ni kwamba huyo dada alimkosea au?
Anasema tu siyo type yake, juzi kanitambukisha mwingine ananiambia ndo type yake na ndo atamuoa, nkamwambia sawa lkn sitahusika kwa lolote tafuta ndugu wengine wa kufanya hilo. Bora lawama....
Usijidanganye ww,yan dunia yot hii umekos mtu sahh mpk unaanza kuzeka,ah tatz kwk nalion unamatarajio makubwa sn hp ndo kufel sasKuna kanuni ukitongozwa lazima ukubali halafu umri 30 kwako unauchukuliaje yaani Ukifika umri huo pasipo kuwa na ndoa ni mkosi,Ni bora kukaa bila ndoa kuliko kuolewa na mtu asiye sahihi.
Sawa, nimekosea. Samahani"Kuna wengine wanaolewa ila ni kama magalasa tu, hayazai wapo wapo tu "