Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #181
Mi nasema tu watatumika sana ikifika mda wa kuolewa wataanza kutia huruma
Na sisi hatuoii 28+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nasema tu watatumika sana ikifika mda wa kuolewa wataanza kutia huruma
Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Ukiona mwanamke anapondea sana wanaume jua umri umesonga
Maneno ya kujifariji. Una umri gani vile?
Ndo nini hiki?Mithali 18:7-8
Umekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
Anaizidi CHADEMA
Ndo nini hiki?
Nipe vigezo mzee baba....Natafta mke ... [emoji28]
hahahahahaAnaizidi CHADEMA
Hi Mr GreenlightHellow Mrs.London
Siujui na wala sina dini hii reference yako hai make sense at allMstari
Endelea kujifariji tu. Usipodhibiti mienendo yako lazima uzeeke bila ndoa. Halafu huwa wana stress na hasira za karibu wale wasioolewa na age inasoma 30+Kuolewa majaaliwa jamani kabla hujacomment jiulize wewe umeoa au ndowalewale mnaofunua na kufunika
Siujui na wala sina dini hii reference yako hai make sense at all
wanazengo wanasema kuna umri mwanamke akifikisha hata uki cheat anakusamehe. ili udumbukie ndoani. ndipo cheche unakutana nazoEndelea kujifariji tu. Usipodhibiti mienendo yako lazima uzeeke bila ndoa. Halafu huwa wana stress na hasira za karibu wale wasioolewa na age inasoma 30+
Too bad baki ukiamini unachoamini
Endelea kujifariji tu. Usipodhibiti mienendo yako lazima uzeeke bila ndoa. Halafu huwa wana stress na hasira za karibu wale wasioolewa na age inasoma 30+
Hata wewe mkuu siku njema
Kwa akili yako unadhani wale walio kosa Ndoa hawakulelewa kwenye maadili Kama wapo na wema wapo wanao tokea kwenye Familia zilizo wakuza vyema.Nimejibi comment yake kulingana yeye ameandika kitu gani.That's excuse, mambo ya watoto wapi na wapi. Naona ungeelekeza kwenye malezi bora na yenye maadili kwa watoto.
wanazengo wanasema kuna umri mwanamke akifikisha hata uki cheat anakusamehe. ili udumbukie ndoani. ndipo cheche unakutana nazo