Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Hata ukijibu ujinga usielimishwe?
Una elimu gani ya kunielimisha ww? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ yaani ww usiye jua hata historia ya vita ya Israel ilipigana vita na nchi ngapi za kiarabu ndo uje kunipa elimu?
Ume niuliza iwapo Marekani aliisaidia Israel na mm nikakujibu ya kuwa asinge acha kuisaidia kwasababu yeye ndo aliye ianzisha sasa angeachaje ifutwe?
 
KAFIRI UMEAMKA MAPEMA KULETA PROPAGANDA? VIPI WALE MAJASUSI WALIOFANYA KWENDA KUIJIFUNZA KILIMO MSHAWAOKOA?
We punguani. Unabeza raia watanzania walotekwa na HAMAS kutetea miarabu really?
 
Mtu anaye wapanua mapaja dada na binti zako ni razima umuheshimu hata kama hutaki.
Hadi unaniquote mara mbili inaonekana hili swala la vijana wa kiislam kupakatwa limekugusa,safi sana
 
Huo umati unaofanya maandamano ulaya na america ni umati wa kiislam ambao inajulikana wako kinyume na israel. Kwenye hayo maandamano hukuti mkristo hata mmoja. Hao ni waislam na wapagani
 
Mtoto w gaidi ni gaidi wa baadaye kwa hiyo unampa haki yake mapema. Pili
Hamas wanatumia public space kama mahospital makanisa miskiti mashule kama sehem ya kujifichia wakiamini israel hatopiga sasa kinachfanyika n nn ujue Israel anafumua tu kuwepo gaidi mmoja na wema mia mnakula wte sahani moja.
 
Kivipi ?ebu fafanua ueleweke.
Kwamba Serikali ya Israeli inafuata utawala wa sheria ndio maana wanaweza kumfunga Netanyahu.
Tofauti na Serikali ya ccm isiyofuata utawala sheria.
Viongozi wanajiamulia tu kuvunja sheria
 
Israel inajua kabisa mateka walipo ila inachofanya kwa sasa ni kuusafisha kwanza mji wa Gaza. Tunaposema kuwa mwaka huu mmeyatimba muwe mnaelewa.
 
Mwaka huu mtaona kila aina ya rangi ila kisago kiko palepale
 
Kwa uandishi wako huo na wewe unahisi unajua kitu? Kibwengo mmoja hivi!
 
Navyoona Hamas wataachia tu mateka na huenda wakajisalimisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…