Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Umenikumbusha kitu mkuu, kuna waandishi wa habari wa kujitegemea ambao wapo front line waliwahi kusema uharibifu wa ndege, helicopters unao unao onyeshwa kwenye mitandao ya kijamii actually belongs to Ukraine Army na kwa kuwa Ukraine na Russia wana military flying machines zinazo fanana wanatumia propaganda zao kudanganya watu, picha nyingine na video zilichukuliwa 2014/15!!
Ukraine anasilaha nyingi za enzi za soviet , hata misaada mingi aliyokua anapewa ni ya zile nchi zilizokua na vifaa vya enzi za soviet hasa vifaru na madege ,kwa sasa ndo hizi himars na hizo javelin ndo za magharibi ila asilimia kubwa ya silaha za ukraine ni za mrusi.....acha waendelee na comedy zao
 
Umenikumbusha kitu mkuu, kuna waandishi wa habari wa kujitegemea ambao wapo front line waliwahi kusema uharibifu wa ndege, helicopters unao unao onyeshwa kwenye mitandao ya kijamii actually belongs to Ukraine Army na kwa kuwa Ukraine na Russia wana military flying machines zinazo fanana wanatumia propaganda zao kudanganya watu, picha nyingine na video zilichukuliwa 2014/15!!
Mwanzoni wa vita waliwekaga kideo cha progaganda wanasema ni ukraine kumbe ni video game
 
Ni zamu ya putin nae aende front akapigane
Weeee; Weee, Putin huyuhuyu au mwingine? Mbona kachoka ile mbaya halafu afya yake haimruhusu hata kusikia mlio wa risasi. Mwacheni mzee wa watu ajifie naturally.
 
Mwanzoni wa vita waliwekaga kideo cha progaganda wanasema ni ukraine kumbe ni video game
Ndo maana baadaye wakaanza kuweka picha za maiti na hata majina yao esp. wale wenye vyeo vya juu e.g. makapteni, makanali, luteni kanali n.k.
 
Ukraine anasilaha nyingi za enzi za soviet , hata misaada mingi aliyokua anapewa ni ya zile nchi zilizokua na vifaa vya enzi za soviet hasa vifaru na madege ,kwa sasa ndo hizi himars na hizo javelin ndo za magharibi ila asilimia kubwa ya silaha za ukraine ni za mrusi.....acha waendelee na comedy zao
Hilo ni kweli. Hata mafunzo ya kijeshi ya wapiganaji wengi wa Ukraine waliyapata enzi za Soviet.
 
Ndo maana baadaye wakaanza kuweka picha za maiti na hata majina yao esp. wale wenye vyeo vya juu e.g. makapteni, makanali, luteni kanali n.k.
Nilivyoona hadi Hollywood imeingia humo vitani , nikajua kabisa video za mchongo zitakuja za kutosha.....
Screenshot_20220913-231840_Samsung Internet.jpg
 
Ndio maana nasema,Ukraine anakula kichapo Cha kimya kimya!
Lakini mbona mwanzoni Mrusi alikuwa na kelele nyingi na Vitisho vya kila aina hadi akaanza mashambulizi ya silaha kwa mbwembwe nyingi lakini sasa kawa mkimyaaaa. Angalia usikute jamaa kakamatiwa chini yan.
 
Hii vita imemuabisha Sana Putin, Saa hizi watakuwa wanaingiza kono lote na si dole pekee.
Mchina amejifunza kitu
Au sio Mzee ulaya had Sasa wanahaha kuweka sawa na mrusi wee upo mbwinde huko unasema kaabika huku anachukua maeneo kibao
 
Wanajeshi wa Urusi sasa hivi hawajali, wanatoroka na kuacha vitu vya gharama sana almradi wanusuru maisha yao, nafikiri mpaka hapo, mataifa yote duniani yana cha kujifunza....
Hiki kifaa hatari cha kukanganya au kuzuia miale au signal jamming kimeachwa Ukraine wajichukulie tu..

AA11KIx4.img


Ukrainian forces have been capturing significant amounts of Russian materiel of various kinds as they keep pushing eastward and southward as part of their ongoing counteroffensives. These spoils of war now reportedly include a relatively intact example of an RTU 518-PSM self-protection jamming pod. This pod is associated with the latest version of the larger Khibiny-U electronic warfare suite used on the Su-30SM Flanker-H, and its capture holds potentially great intelligence value.

Pictures of the front end of the pod in question began circulating on social media earlier today. It was reportedly discovered among the wreckage of a Russian Su-30SM, with the serial number RF-81773 and bort number Red 62, that was shot down earlier in the conflict near the city of Izium (Izyum) in Ukraine's northeastern Kharkiv region. It would appear that Russian forces had made no serious attempt to locate what was left of the aircraft, and remove or destroy it to prevent their capture before the area was recently liberated.
Chuchu Sound
 
Wanajeshi wa Urusi sasa hivi hawajali, wanatoroka na kuacha vitu vya gharama sana almradi wanusuru maisha yao, nafikiri mpaka hapo, mataifa yote duniani yana cha kujifunza....
Hiki kifaa hatari cha kukanganya au kuzuia miale au signal jamming kimeachwa Ukraine wajichukulie tu..

AA11KIx4.img


Ukrainian forces have been capturing significant amounts of Russian materiel of various kinds as they keep pushing eastward and southward as part of their ongoing counteroffensives. These spoils of war now reportedly include a relatively intact example of an RTU 518-PSM self-protection jamming pod. This pod is associated with the latest version of the larger Khibiny-U electronic warfare suite used on the Su-30SM Flanker-H, and its capture holds potentially great intelligence value.

Pictures of the front end of the pod in question began circulating on social media earlier today. It was reportedly discovered among the wreckage of a Russian Su-30SM, with the serial number RF-81773 and bort number Red 62, that was shot down earlier in the conflict near the city of Izium (Izyum) in Ukraine's northeastern Kharkiv region. It would appear that Russian forces had made no serious attempt to locate what was left of the aircraft, and remove or destroy it to prevent their capture before the area was recently liberated.
 
Unaelewa nini kuhusu ukanda wa Donbas.
Ninachofahamu, na ndivyo ilivyo, Ukraine ni nchi huru inayotambulika Kimataifa. Ukraine amekuwa mvumilivu au aliogopa muda wote kuanzisha vuguvugu la kudai maeneo yaliyochukuliwa kimabavu - Donbas na Crimea vikiwa ni mojawapo.
 


Taarifa za Urusi zingekua kweli yaani leo Ukraine ingekua shamba.....tangu vita vianze wamekua wanatoa updates za ajabu sana....mpaka sasa wamelipua HIMARS zaidi ya 100
 
Umenikumbusha kitu mkuu, kuna waandishi wa habari wa kujitegemea ambao wapo front line waliwahi kusema uharibifu wa ndege, helicopters unao unao onyeshwa kwenye mitandao ya kijamii actually belongs to Ukraine Army na kwa kuwa Ukraine na Russia wana military flying machines zinazo fanana wanatumia propaganda zao kudanganya watu, picha nyingine na video zilichukuliwa 2014/15!!
Hapa ndio vijana wengi humu wanakwama
 
Hilo ni kweli. Hata mafunzo ya kijeshi ya wapiganaji wengi wa Ukraine waliyapata enzi za Soviet.
Tokea 2014 wamekuwa wakichukua mafunzo kutoka ulaya ili ku mordenize wanavyo oparate. Hatumi tacticts za mrusi kwa asilimia kubwa.
 
Tupunguze ukari wa maneno!
Mimi Sina upande ktk huu mgogoro lakini tusubiri tuone hatima ya haya ndani ya masaa kadhaa!
Nina Jamaa yangu yupo Frontline Kama doctor upande wa Ukraine, anasema Tangia Tarehe 09/09 mpaka Leo Jeshi la Ukraine limepoteza Mamluki zaidi ya 4000 na majeruhi 13,000 na zaidi. Ila hali ni ngumu ni Kama wanajitoa mhanga.
muhaya bhana unatuhaibisha[emoji2]
eti una jamaa yako yuko flontline [emoji1787]
 
Back
Top Bottom