Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Naona umeamua kukaza fuvu. Bhas sawa hiyo ni fuel tank ambayo inakaa mwishoni mwa bawa la ndege
Bakishaga akili ya kuvukia zebra
 

Attachments

  • Screenshot_20220913-122935_Google.jpg
    Screenshot_20220913-122935_Google.jpg
    68.4 KB · Views: 4
Hawa wanajeshi wangeamua kumgeuka Putin wammalize na vita iishe!
Urusi imeshapoteza askari wake zaidi ya 30,000 ktk ardhi ya nchi waliyovamia~!
Hakuna ujinga kama huu, peleka watoto wako na ndugu zako wakapigane!
Hawajui yuko wapi, anaishi makazi ya siri na hata akitanga kutokea hadharani hatokei yeye, bali, 'DOUBLE", najua kuwa watu wamemchoka ndo maana kwa sasa anaangamiza matajiri kwakuwa anajua kuwa wanaweza kufadhir uovu dhidi yake. Orodha ya matajiri aliowaua toka vita ianze ni kubwa. Yupo aliyeuawa pamoja na familia yake yote akiwa mapunzikoni nchi za nje
 
Nilijua hili litafikiwa, nilipoona Amerika waliposema hawatatangaza tena misaada wanayoipeleka Ukrain nikajua vita imefikia patamu. Russia hawataweza tena kuyakomboa maeneyo hayo. Na Crimea wataitema hili likiwa pia funzo kwa China juu ya Kisiwa cha Tiawan. Itakuwa aibu ya mwaka kwa China akijaribu kuishambulia Taiwan kwani itakuwa head on collision with America. uchumi wa China kwa sasa upo ICU na wakitaka u-tank wamarekani wanaweza kufanya hivyo. Mabenk Uchina yamefilisika kwa kuwa na madeni mengi yasiyolipika economic Bubble is about to explode.
 
Ndio tunasubiri operesheni ya wiki ya kuondoa uongozi wa Ukraine...huku wanajeshi wa Urusi wakitoroka kwa baiskeli.
Wewe huwezi kuyajua malengo ya Russia zaidi ya kuwa msambazaji wa propaganda humu jukwaani!
 
Wewe huwezi kuyajua malengo ya Russia zaidi ya kuwa msambazaji wa propaganda humu jukwaani!

Ya wiki moja ya kuparamia Kyev, tuendelee kuwasubiria...takbir akbar akbra
 
Ya wiki moja ya kuparamia Kyev, tuendelee kuwasubiria...takbir akbar akbra
Hayo ya wiki Moja umesema wewe,Endelea kupiga propaganda!Uzuri Russia yeye hana muda Huo zaidi ya kazi kazi
 
Hizo updates Huwa haziambatani na picha,acha uzushi!Nenda kule Jamii photo ukaone namna Ukraine anavyotoa picha za maiti!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
punguza mahaba mzeeeee kipigo ni kizito mjiandae tu kutangaza rasmi kurud nyumbn
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
punguza mahaba mzeeeee kipigo ni kizito mjiandae tu kutangaza rasmi kurud nyumbn
You wish,subirini ambush halafu kimya kimya bila kelele kama hizi mnazoleta!
 
Hayo ya wiki Moja umesema wewe,Endelea kupiga propaganda!Uzuri Russia yeye hana muda Huo zaidi ya kazi kazi

Kwanza mlisema siku tatu, mimi nimewaongeza wiki moja....kwa uwezo wa akbar akbar
 
Kwanza mlisema siku tatu, mimi nimewaongeza wiki moja....kwa uwezo wa akbar akbar
Hiyo siku 3 alisema nani na wapi?Tupe link tuone mamlaka ya Russia ikitangaza Hilo!
 
Hiyo siku 3 alisema nani na wapi?Tupe link tuone mamlaka ya Russia ikitangaza Hilo!

Hukumskia kumbe unamuabudu bila kufuatilia anachikisema...takbirr
 
Hukumskia kumbe unamuabudu bila kufuatilia anachikisema...takbirr
Leta link,maana tokea wiki ya kwanza ya uvamizi watu tumeomba link wa habari hiyo ilitangazwa wapi ila hakuna aliyewahi kujibu Hilo!Mwezi wa 7 huu Bado unakuja na story wiki ya kwanza ambayo Haina uthibitisho,she on you!
 
Back
Top Bottom