Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Dah! Urusi wameachia hiki kifaa kikachukuliwa kizembe sana, hii hasara sasa

Silaha ya muhimu ambayo Ukraine ilikamata mpaka sasa ni sehemu ya Krasukha 4 electronic warfare system iliyokamatwa Kyiv wiki za mwanzo mwanzo. Ndio modern EW ya Russia wacha ikasomwe uko wajue countermeasures zakeView attachment 2355339
Hata marekani hakuachii vifaa kizembe, anaharibu kila kitu anasepa
Ndicho aliwafanyia Taliban

Kwanza waliharibu kila kitu, wakakata umeme
Wakasepa

Afghan wamegundua baada ya masaa 4 Marekani kuondoka
 
Tuendelee kusubiri malengo yake ya kuondoa serikali ya Kyiv na kusimika ya kwake ndani ya wiki moja.
Endelea kusubiri,Malengo ya Urusi yatafikiwa Ukraine!
 
Russia alikua akifanya mazoezi ya pamoja na China anadhani ndio vita yenyewe yale ni mazoezi saa hizi ameanza kununua drone Iran na Korea Kaskazini ameishiwa mbinu kabisa na amejidharirisha na pia imekua funzo kwa mataifa mengine makubwa kutofanya huo utoto alioufanya Russia yeye katumia miezi saba kuchukua maeneo naona Ukraine siku tano kachukua eneo kubwa sana mpaka sasa naanza kuwaonea huruma wanajeshi wa Urusi wengine wanapata ajali wakikimbia vita..
Mwanzoni mwa vita zile HIMARS zilikuwa zinapondwa sana kuwa hazina msaada wowote kwa Ukraine, tukawaambia pro russia kuwa HIMARS zimebadili uelekeo wa vita ila hawakuamini, naona kwa sasa wanaamini kwa vitendo zaidi.
 
Tuendelee kusubiri malengo yake ya kuondoa serikali ya Kyiv na kusimika ya kwake ndani ya wiki moja.
Anakalia miji yenye viwanda, na bandari na mbolea na NUCLEAR PLANTS for good
 
Hako ni ka External fuel tank na tena ni empty, sasa la nini kama internal tanks zipo full
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na kweli hiyo ni fuel tank
IMG_20220913_114926.jpg
 
Yafaa nini kupigana then mnakaa mnazungumza vita vinaisha kwann msizungumze kabla ya vita.Uoni huo ni ubabe usio na akili.
So ukifa familia yako nani ataitunza.
Kwann ufe wakati escape chance ipo? Bora nikawe mkimbizi
1978 tunge kuwa na watu sample yako sidhani kama tungemuondoa nduli.

Kuna muda diplomacy ina fail kinacho baki ni kupeana adabu atakaye shindwa mgogoro unakwisha.
 
Hawa wanajeshi wangeamua kumgeuka Putin wammalize na vita iishe!
Urusi imeshapoteza askari wake zaidi ya 30,000 ktk ardhi ya nchi waliyovamia~!
Hakuna ujinga kama huu, peleka watoto wako na ndugu zako wakapigane!
Last month ripoti ilivuja, Wizara ya ulinzi ililipa fidia kwa wafu 48,000. Hapo bado wengine hawajahesabiwa
 
Silaha ya muhimu ambayo Ukraine ilikamata mpaka sasa ni sehemu ya Krasukha 4 electronic warfare system iliyokamatwa Kyiv wiki za mwanzo mwanzo. Ndio modern EW ya Russia wacha ikasomwe uko wajue countermeasures zakeView attachment 2355339
[emoji23][emoji23][emoji23]US wanaifurahia sana hii vita maana sasa hivi ma spy wao watakuwa wamejazana Ukrain kupeleleza siraha za Putin
 
Hicho sasa hivi kipo kwenye ndege kinaelekea Washington
Hawana haja ya kufanya hivyo; vijana wa kazi wa makundi adhimu yote wapo eneo la tukio ikijumuisha wale wababe "SAS" wa UK
 
Back
Top Bottom