Mkuu leo mataifa yenye nguvu zaidi duniani Marekani, Ujerumani na England yamekiri kazi Ukrean imefanyika vizuri sana na inaendelea kwa uzuri zaidi na wamehakikisha wataongeza nguvu tena zaidi, kauli hii imekuja baada ya hizi wiki mbili tatu za nguvu Mrusi alivyofurushwa Khakiv kwa aibu na kutelekeza mitambo yake mbali mbali ikiwemo ile ya howitzers, tanks na drones system na nyingi sana zimekuwa capturedUkraine anahangaika sana na picha picha,Kuna kitu hapo!