Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Kabudi Na shivjeee
 
Kabudi Na shivjeee


shivji yupo vizuri sana kwenye constitutional, criminal, Land and civil zote. ameanza practice miaka ya nyerere, hadi miaka ile ya utaifishaji mali za wahindi alipambana sana. mwondoe hapa, kwanza huyo sio professor wa kibongo, huyo ni mhindi hadi tabia zake zote. naomba kwa heshima yake nimexclude huyo.

wengine wote, angalia hata kama kwenye case law hata moja wana appear huko court of appeal. wanakaa tu darasani na ofisini kufundisha theory na kufanya research kwa ajili ya wazungu. na sheria bila practice ya mahakamani ni sawa tu na sociology.
 
Ccm imewaponza NASA
 
Hapo nimekukubali, ok professor RUTASITARA RWEGASIRA , ambaye amefundisha harvad mda mrefu Ila now yuko Botswana, anawaendesha kotin uko kama nn
 
4.Ahmednasir Abdulahi (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa) "The Grand Mullah" huyu jamaa anatumia mbinu zote kushinda kesi zake nje na ndani. Msomali mjanja sana huyo
Anatumia akili na ni mjanja sana kwenye sheria.
 
Hapo nimekukubali, ok professor RUTASITARA RWEGASIRA , ambaye amefundisha harvad mda mrefu Ila now yuko Botswana, anawaendesha kotin uko kama nn

koti ya wapi mkuu? za hapa tz au za wapi? hapa bongo kuna watu hawana hata masters (LLM) lakini kwa kuwa wamekaa sana mahakamani, wamekutana na technicalities nyingi sana, wamesoma sana case law na wapo vizuri kuliko maprofesa hata kumi. ukiingia mahakamani, degree huwa tunaziacha pale kwenye geti utazichukua unapotoka, pale ni kipawa cha kuongea arguments, knowledge ya principles za sheria, maamuzi yaliyopita hasa yale current, convincing power, akili ya haraka kung'amua jambo na kulijibu harakaharaka, ujasiri wa kusimama na kuongea mbele za watu.

ajabu yake ni kwamba, maprofesa na ma phd (binafsi nina Masters tu), huwa waoga sana kwasababu wanakuwa wanawasiwasi madogo watawavizia na kuwaibukia na presentation nzuri itakayowafanya wao waonekane elimu yao ni bure. hasa maprof unamvizia tu kwenye hoja fulani ambayo pengine ameisahau, unamtandika hadi anachanganyikiwa lafu watu wanakuona kama vile wewe ndio prof kume wapi. hilo ndo linawafanya sometimes wawe na wasiwasi. pia, hawapendi kujifunza/kufundishwa wanaamini wanajua kila kitu.

kumbe kwenye sheria, kuna mambo mapya yanaibuka kila siku na usipokuwa mfuatiliaji na mtu wa kushirikiana na wanasheria wenzio kuna mambo mapya yatakupita wewe utaenda na yale ya zamani mahakamani kumbe msimamo umebadilika na utaonekana haueleweki kabisa. hasa hao walimu huwa wanakuja na theory zao zile na kesi zao za miaka ya sabini na themanini tu, kumbe kuna kesi zingine za mwaka jana...unawazibua hadi hawaamini. huwa nafurahi mno. shivj yuko vizuri sana, kwa madoctor, Doctor Tenga wote wawili wako vizuri mno, fimbo ni mzuri kwenye land ila bado huwa anasambaratishwa sana kwasababu ya uzee na kutofuata technolojia...vijana wanaojua na kutumia technologia ndio mambo hayatupiti kabisa na tunawasumbua kweli wazee.

uliza wanaoenda mahakamani, Mzee Rweyongeza ana phd au hata masters tu? mkono je ambaye aliajiri hadi kina prof mwaikusa etc (late)....na walipata pass tu hao chuo.
 

Kuongea kigiriki na kuleta ya Pythagoras theorems ndio Ushindi. Naona kutakuwa na facts zaidi ya hizo toka Mawakili wengine km ni kushinda. Basi tuwachukue Maprofessor au Mawakili wa Kigiriki waje kutushidia kesi Afrika.. Au daktari mwenye kujua kiingereza ndio surgeon au mpasuaji mzuri?
 
Mbona hakusema ya maana sana ila maneno magumu ya kiingereza!

Umesema vema. Mimi nimeitizama hiyo video, hakusema ya maana kiivo ila tu labda lugha na namna anavyoongea, na pengine sababu ya uongeaji wake ameshapendwa na watu flan lkn hakuwa na kipya saaana cha kusema eti ni exceptional.
 
4.Ahmednasir Abdulahi (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa) "The Grand Mullah" huyu jamaa anatumia mbinu zote kushinda kesi zake nje na ndani. Msomali mjanja sana huyo

haujui tu mkuu, kwa watu waliotoa argument nzuri na wanaojua presentation mahakamani, jamaa hana presentation nzuri kusema ukweli. kuna watu wanaweza kuongea mahakamani halafu hata kama hawajaongea point wana convince mahakama kuwaunga mkono, huyo hajabarikiwa.

Ila wakili wa tume ya uchaguzi yule mkurya (mwita sijui ninii?, wakili wa Raila wote wale, na wakili wa nani sijui ana mdomo umepinda hivi, wale jamaa ni wanasheria wazuri sana, wana jua art ya kuongea kukomvinsi sana, wanajua kupangilia hoja kwa kuunga na sheria vizuri.

Binafsi nimefurahi. nilitazama kidogo sana kwasababu nilikuwa sina muda lakini kwa muda kidogo sana niliotazama baadhi tu ya uendeshaji wa kesi, wameniongezea kitu kikubwa sana kwenye presentation of arguments mahakamani. sio kwamba sijui kama wao, lakini wamenitia moyo since kila kitu huw akipi katika kiwango tofauti tofauti.
 
Abdullahinasiri Abdullah huyu jamaa wa Kenyatta, namkubali kinoma noma


Haujui tu mkuu, kwa watu waliotoa argument nzuri na wanaojua presentation mahakamani, jamaa hana presentation nzuri kusema ukweli. kuna watu wanaweza kuongea mahakamani halafu hata kama hawajaongea point wana convince mahakama kuwaunga mkono, huyo hajabarikiwa.

Ila wakili wa tume ya uchaguzi yule mkurya (mwita sijui ninii?, wakili wa Raila wote wale, na wakili wa nani sijui ana mdomo umepinda hivi, wale jamaa ni wanasheria wazuri sana, wana jua art ya kuongea kukomvinsi sana, wanajua kupangilia hoja kwa kuunga na sheria vizuri binafsi nimefurahi.

Nilitazama kidogo sana kwasababu nilikuwa sina muda lakini kwa muda kidogo sana niliotazama baadhi tu ya uendeshaji wa kesi, wameniongezea kitu kikubwa sana kwenye presentation of arguments mahakamani. Sio kwamba sijui kama wao, lakini wamenitia moyo since kila kitu huw akipi katika kiwango tofauti tofauti.
 
Tundu Lisu wao huyo
Kama Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…