Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

hiv mkigongana asubuh mchana na jioni mfululizo kwa wik moja utakuwa mtu kwel? kuhus utam kila mtu ana utamu wake sehem za siri zinatumika ili kufikia neva za kilele mapema..jiulize unapopiga punyeto utam huwa unatoka wapi?
 
Duh!

Hawa ma-dokta wanachanganya watu..
Kuna ma-dokta wanaosema mwanaume inabidi ushughulikie mbususu angalau mara 21 Kwa mwezi Ili kuepuka ugonjwa wa Tezi dume. Hawa husema ukiweza kuitafuna daily ni vizuri zaidi.

Huyu dokta Umukulthum anasema vingine. Ni kama anapigia debe Ile saumu ya mbususu (Nofap challenge)🥱
 
1 x 1 (20-30 minutes) daily kwa afya yako🤓
 
Tulio wengi hata hiyo mara 3 Kwa wiki haifiki,nazungumzia Wanaume.
 
na wale wenye wake wengi inakuwaje. Unakuta mtu ana wake wanne...
 
Huyo ana matatizo yake akipiga kimoja analala siku 2 ya tatu ndo anaamka ndo anatuletea utafiti wake hapa kasindwa kazi huyu 😀
 
Yeye anaweza?
Asitutisheee bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…