Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Prof Janabi ndiye Daktari wa The Late Pombe na Rt Prezdaa Jakaya.Najiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Tena huko kwa wenzetu yeye pia angeishia pabaya kwa aliyokuwa anayafanya.Ingekuwa kuwa kwa wenzetu majibu tungekuwa nayo tayari, hata mhusika angelikuwa mahakamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena huko kwa wenzetu yeye pia angeishia pabaya kwa aliyokuwa anayafanya.
japo simjui lakini ningekuwa na uwezo kuna kitu ningemfanyiaNajiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Vijiwe vya kahawa vinasema wanasiasa njaa walitumiwa kumtupia TOPE Mwamba baada ya kuona matokeo hasi ya nchi na kukwamisha mradi wa CON19 huku bajeti ya nchi tunakopa kwao.Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Bado anaishi nasi💪🚶Hata ningekiwa mimi ndio daktari wake ningemuua haraka sana. Alikuwa mtu muovu na aliuwa na kutesa watu wengi sana.
Bado anaishi nasi💪🚶japo simjui lakini ningekuwa na uwezo kuna kitu ningemfanyia
Muda utaongea na...Tena huko kwa wenzetu yeye pia angeishia pabaya kwa aliyokuwa anayafanya.
Mbona umestuka mno.Unataka kujua nini ? Kuwa muwazi mbona una umma meno ?
Huwa sisahau miandiko ya vipenyoDaktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Ni kweli hata issue ya Tundu LissuKuna siku kila kitu kitakuwa wazi,hata kama sio leo kesho inakuja.kila kilichofichwa kitafunuliwa waazi.
HahahaDaktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Achana na huyo marehemu, Mungu alitusaidia kumuwahisha kiongozi katili na sadist. Bahati mbaya sana baadhi ya watu wenye roho mbaya kama yeye walimuona shujaa kisa kuporomosha uchumi wa waliokuwa juu ili waishi kama mashetaniNajiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Wazee wa LegasiNajiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Mmmmm Janabi ni wa JKProf Janabi ndiye Daktari wa The Late Pombe na Rt Prezdaa Jakaya.
Ningekuona umeanza kupona ule ugonjwa wako,kama leo ungemkubali jpm,ila kwa sababu wewe bado ni mgonjwa,huwezi mkubali.Achana na huyo marehemu, Mungu alitusaidia kumuwahisha kiongozi katili na sadist. Bahati mbaya sana baadhi ya watu wenye roho mbaya kama yeye walimuona shujaa kisa kuporomosha uchumi wa waliokuwa juu ili waishi kama mashetani