Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Hiyo kitu haipo na haija tuathiri,ipo kwa jirani zetu.
 
Hiyo reli ya Mpanda Hadi DRC itapitia wapi mkuu ?
Nadhani Kalemi, kwenye mwambao ya Ziwa Tanganyika, halafu inabebwa na meli hadi upande wa pili wa DRC unaoitwa Kalemie port. Baadaye sgr ya umeme itajengwa kutoka Tabora hadi kule Kalemi. Lengo ni kuiunganisha nchi yetu na utajiri mkubwa wa maliasili wa nchi ya DRC. Pale Kalemi upande wa Tanzania kutakuwa na soko kubwa la kimataifa la madini mbali mbali.
 
Kilichokupa utata kuelewa ni nini? Maana sio mtalaamu sana wa civil works. Lakini ana uzoefu wa kazi za za kikandarasi. Hapo umeshindwa kuelewa nini? gt au...
Atakuwa hataki upekenyue mapungufu hata haliyo wazi kwa wasio wataalamu,angehoji zaidi huenda ungemfahamisha asichoelewa.
 
Kwa jibu hili ulilopost ni dhahiri kuwe wewe uelewa wako ni duni. Sgr au narrow gauge zote zinatengenezwa kwa kujenga tuta kisha kutandaza reli. Kaa kimya maana unajiabisha.
Aache kukushambulia akitaka aje na utafiti wake hapa,vinginevyo anafanya utetezi kwa wengine usiokuwa na tija kwa taifa.
 
Hata usipokamilika ndani ya muda wake sisi hatuna shida watakuja kufaidi wajukuu zetu kwani shida iko wapi?Marekani anapanga mipango ya miaka 50 namna nchi yao itakuwaje sembuse sisi?
Sio kwa kukurupuka kibongobongo hata Bila mikakati inayoeleweka.
 
Tatizo ukomo....
 

Mawazo haya wana psychology wanaita intuition sawa na kupiga ramli au kufuata hisia yaani kurahishisha mambo bila kutumia juhudi za kujiuliza kwa kuhusisha kutumia fikra na bongo kujiuliza tunavyoona na kufikiri ndivyo au tunarahishisha kuwa DR Congo, Rwanda, Burundi lazima watatumia SGR reli yetu watake wasitake.

Inabidi tuende mbele na kujiuliza kwa juhudi kabisa/ effort wanavyosema wana-psychology kuhusisha mawazo, fikra, mdahalo kama huu hapa JF na bongo zetu bila kutumia mahaba ya kumpenda kiongozi/ chama kutumia "kuotea/intuition/ ramli".

Yaani tufanye juhudi / effort za makusudi kabisa kuachana na mtindo huu uliojitokeza sasa ktk mitano-mingine kutumia kuotea/kuamini na kuaamua kujiuliza tena na tena kweli SGR itegemee maamuzi ya jirani au wenyewe tujipange reli yetu 60% itegemee shughuli za kiuchumi za ndani ya nchi ndiyo ziendeshe kujenga mradi huu au la na kwa kiwango gani na wapi reli hii iende ndani ya nchi yetu.

Dunia hii ni chaotic / uwanja-wa-fujo kwa nchi yoyote ikiwemo Tanzania kutegemea kupitia intuition / maoteo bila kutumia fikra gonganishi ktk bongo kuamini majirani wa DR Congo, Rwanda , Uganda wataibeba SGR reli yetu na huku tunajua fika kuwa hatuwezi kuwalazimisha au kuwashawishi waitumie kwa miezi sita, mwaka au milele reli yetu.

Explorations of the Mind: Intuition with Daniel Kahneman

Source : University of California Television (UCTV)
 
Kupenda vyetu,siishida shida nikutoambiwa hatauhalisia wachangamoto tulizonazo,kwa uhalisia,hata tusingekuwa tunazozana humu.
 
Ni kweli hauwezi kukamilika kwa wakati lakini Rais ajae lazima akamilishe maana itakua imebaki vipande vidogo sana,
Katika hili nipo pamoja na JPM
 
Nimefika Istanbul, SGR yao walijengewa na Wachina na fedha walikopa Chinese Exim Bank
 
HII SASA INAASHIRIA KUWA LAZIMA AONGEZWE MIAKA ILI MIRADI YAKE IKAMILIKE.MPENDE MSIPENDE[emoji41]
 
Aliyekwambia SGR inafika Tabora ndani ya awamu ya 5 ya miaka 10 nani?
SGR ndani ya awamu ya 5 inaishia Makutupora tu.
Ndio maana tunataka tumwongezee muda ili SGR ifike huko Tabora mpaka Isaka.
Umeelewa?
Siyo lazima amalizie yeye. Atakuja mwingine atamalizia kama jinsi yeye alivyomalizia Terminal III na Daraja la Nyerere la Kigamboni
 
Wewe mbweha kavute Bangi huna unachokijua zaidi ya chuki fitna za kishamba pasipo kujua kuwa Serikali ndiyo Tatizo kwenye malipo, tumeshakuja kuwa una masilahi yako huko ndiyo maana umeanza fitna za kishetani
Mbona tumekuwa tunaenda vizurj mnataka kuharibu hapa Bandugu,imekuwaje mnagombania fito,Tz ni moja nasi ni wamoja.
 
Huu ndiyo ukweli halisi kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…