Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

Huyu mvuta bangi achana nae ana matatizo. Bangi za Arusha zinaamsha minyoo
Wewe mbweha acha ufala kitendo cha kuisengenya ID ya JF ndiyo uvutaji Bangi wenyewe huoni kuwa ID yako ni ya kifala fala lakini hakuna wa kuhangaika nayo watu wapo busy na mada yako uliyoileta bila kufanya uchunguzi wala tafiti umeishia kuongea upumbavu humu
 
Wewe mbweha acha ufala kitendo cha kuisengenya ID ya JF ndiyo uvutaji Bangi wenyewe huoni kuwa ID yako ni ya kifala fala lakini hakuna wa kuhangaika nayo watu wapo busy na mada yako uliyoileta bila kufanya uchunguzi wala tafiti umeishia kuongea upumbavu humu
Mimi sio punguani kama wewe,kesho nenda Soga,kagua mradi wote kuanzia Soga mpaka Morogoro ndio utajua mimi nasema ukweli.
 
Wewe mbweha acha ufala kitendo cha kuisengenya ID ya JF ndiyo uvutaji Bangi wenyewe huoni kuwa ID yako ni ya kifala fala lakini hakuna wa kuhangaika nayo watu wapo busy na mada yako uliyoileta bila kufanya uchunguzi wala tafiti umeishia kuongea upumbavu humu
Kujenga tuta kuanzia kwa Bakhresa mpaka Soga mnatumia mwaka mzima. We mbweha na bangi zako ndio unakuja kutetea upumbavu.
 
Mimi sio punguani kama wewe,kesho nenda Soga,kagua mradi wote kuanzia Soga mpaka Morogoro ndio utajua mimi nasema ukweli.
Huna Ubongo kichwani mwako unawezaje kujua punguani? Hapo ulipo wewe ni zaidi ya zuzu Akili za kujua punguani umezitoa wapi? Nenda wewe kaulize Tatizo ni niini watakupa jawabu kuwa Serikali ndiyo Tatizo imewacheleweshea malipo kama ulikuwa hujui, Tatizo lako wewe unasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani na kishamba ndiyo maana umejitoa fahamu zote hutaki kujua Tatizo ni usumbufu kwenye malipo, ujenzi huwa na kasi pindi pesa zikiwa zinalipwa kwa haraka na wakati .
 
Huna Ubongo kichwani mwako unawezaje kujua punguani? Hapo ulipo wewe ni zaidi ya zuzu Akili za kujua punguani umezitoa wapi? Nenda wewe kaulize Tatizo ni niini watakupa jawabu kuwa Serikali ndiyo Tatizo imewacheleweshea malipo kama ulikuwa hujui, Tatizo lako wewe unasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani na kishamba ndiyo maana umejitoa fahamu zote hutaki kujua Tatizo ni usumbufu kwenye malipo, ujenzi huwa na kasi pindi pesa zikiwa zinalipwa kwa haraka na wakati .
Kwa hiyo kwa miaka minne hawalipwi kwa wakati? Mimi kwenye hii mada natoa lawama kwa serikali na mkandarasi wote ni wazembe. Sema wewe ni bichwa maji.
 
Kujenga tuta kuanzia kwa Bakhresa mpaka Soga mnatumia mwaka mzima. We mbweha na bangi zako ndio unakuja kutetea upumbavu.
Huna unachokijua zaidi ya chuki fitna kwa waturuki upate uteuzi, kwa upumbavu wako usitegemee uteuzi milele, kama unataka Uteuzi wambie Serikali wawe wanalipa makandarasi kwa wakati pasipo usumbufu uone kama kuna kazi zitasimama.
 
Kwa hiyo kwa miaka minne hawalipwi kwa wakati? Mimi kwenye hii mada natoa lawama kwa serikali na mkandarasi wote ni wazembe. Sema wewe ni bichwa maji.
Ha ha ha ha ha acha hizo komaa Serikali iwalipe makandarasi wanadai pesa nyingi kuliko kutoa lawama kwa ujenzi tu
 
Huna unachokijua zaidi ya chuki fitna kwa waturuki upate uteuzi, kwa upumbavu wako usitegemee uteuzi milele, kama unataka Uteuzi wambie Serikali wawe wanalipa makandarasi kwa wakati pasipo usumbufu uone kama kuna kazi zitasimama.
We minyoo mbumbumbu unadhani mkandarasi analipwa kila mwezi? Mkandarasi analipwa kwa certificate. Leo J mosi nenda club ukahesabu waomba bia na buku ten,acha wanae tujadili mustakabali wa nchi yetu.
 
Serikali ndiyo inabeba lawama zote, hawalipi kwa wakati kuna usumbufu mkubwa kwenye malipo makandarasi wanalia na kulalamika saa 24 kila siku.
 
We minyoo mbumbumbu unadhani mkandarasi analipwa kila mwezi? Mkandarasi analipwa kwa certificate. Leo J mosi nenda club ukahesabu waomba bia na buku ten,acha wanae tujadili mustakabali wa nchi yetu.
Wewe ni juha zuzu Akili ya kujua umbumbumbu unaitoa wapi? Hapo ulipo ni zaidi ya mbumbumbu unawezaje kujua mbumbumbu?nenda kaulize malipo yao ndipo utajua usumbufu uliopo huko kwani kuna ukiukaji mkubwa wa mikataba yako hiyo, Tambua kule wapo makandarasi wazawa pia nao wanalia njaa, kuna pesa inatoka shirika la Reli kulipa wadhabuni nayo hulipwa kwa usumbufu mkubwa,kwa kifupi Tambua mradi unaendeshwa kibongo bongo lazima kuwepo na makando makando kibao, lakini wewe kwa kuwa unasaka Uteuzi umejitoa fahamu zote unaegemea kuwaonea kampuni tu pasipo kujua Tatizo ni Serikali yako.
 
Mleta mada ni mvuta Bangi amejitoa fahamu zote akiamini uzushi wake utampelekea kupata uteuzi kishamba shamba akizani watoa uteuzi wamelala kama yeye.
 
Nadhani Kalemi, kwenye mwambao ya Ziwa Tanganyika, halafu inabebwa na meli hadi upande wa pili wa DRC unaoitwa Kalemie port. Baadaye sgr ya umeme itajengwa kutoka Tabora hadi kule Kalemi. Lengo ni kuiunganisha nchi yetu na utajiri mkubwa wa maliasili wa nchi ya DRC. Pale Kalemi upande wa Tanzania kutakuwa na soko kubwa la kimataifa la madini mbali mbali.
Kalemie ipo mwambao wa ziwa tanganyika upande wa Congo , Naomba unioneshe ni vii reli itatoka Tanzania Hadi Kalemie Kama ulivyosema!


Otherwise uwe hujui kalemie iko wapi !
 
Nadhani Kalemi, kwenye mwambao ya Ziwa Tanganyika, halafu inabebwa na meli hadi upande wa pili wa DRC unaoitwa Kalemie port. Baadaye sgr ya umeme itajengwa kutoka Tabora hadi kule Kalemi. Lengo ni kuiunganisha nchi yetu na utajiri mkubwa wa maliasili wa nchi ya DRC. Pale Kalemi upande wa Tanzania kutakuwa na soko kubwa la kimataifa la madini mbali mbali.
Naomba unioneshe namna reli itatoka Mpanda Hadi Kalemie upande wa Congo.


Nimekuwekea ramani ili uone unavyojichanganya.
IMG_20210206_230921.jpeg
 
Mawazo haya wana psychology wanaita intuition sawa na kupiga ramli au kufuata hisia yaani kurahishisha mambo bila kutumia juhudi za kujiuliza kwa kuhusisha kutumia fikra na bongo kujiuliza tunavyoona na kufikiri ndivyo au tunarahishisha kuwa DR Congo, Rwanda, Burundi lazima watatumia SGR reli yetu watake wasitake.

Inabidi tuende mbele na kujiuliza kwa juhudi kabisa/ effort wanavyosema wana-psychology kuhusisha mawazo, fikra, mdahalo kama huu hapa JF na bongo zetu bila kutumia mahaba ya kumpenda kiongozi/ chama kutumia "kuotea/intuition/ ramli".

Yaani tufanye juhudi / effort za makusudi kabisa kuachana na mtindo huu uliojitokeza sasa ktk mitano-mingine kutumia kuotea/kuamini na kuaamua kujiuliza tena na tena kweli SGR itegemee maamuzi ya jirani au wenyewe tujipange reli yetu 60% itegemee shughuli za kiuchumi za ndani ya nchi ndiyo ziendeshe kujenga mradi huu au la na kwa kiwango gani na wapi reli hii iende ndani ya nchi yetu.

Dunia hii ni chaotic / uwanja-wa-fujo kwa nchi yoyote ikiwemo Tanzania kutegemea kupitia intuition / maoteo bila kutumia fikra gonganishi ktk bongo kuamini majirani wa DR Congo, Rwanda , Uganda wataibeba SGR reli yetu na huku tunajua fika kuwa hatuwezi kuwalazimisha au kuwashawishi waitumie kwa miezi sita, mwaka au milele reli yetu.


Explorations of the Mind: Intuition with Daniel Kahneman

Source : University of California Television (UCTV)

Sasa mbona hizo theories zako za intuition hazieleweki na haziko applicable na hiki tunachokizungumzia hapa. Hizi nchi za DRC, Rwanda, Burundi na Uganda ni land locked countries. Zipende zisipende zinategemea ports za Tanzania au Kenya kuwa land open countries. Hadi sasa zinatumia ports za Tanzania au Kenya. Tanzania tukijenga hii miundo mbinu ya SGR etc ports za Kenya zitakuwa hazitumiwi tena na nchi hizi kwani sisi ndiyo tuko karibu nao sana kijiografia na hivyo itakuwa ndiyo cheapest route zao. Hivyo tutapiga pesa kwa kutumia hii geographical position tuliyopewa na Mwenyezi Mungu. Bandari tunazo kibao - Tanga, Bagamoyo, Dar, Kilwa, Lindi na Mtwara. Mungu akupe nini. Kazi yetu ni kuziboresha bandari zetu zote kuwa kwenye viwango vya kimataifa na kusambaza sgr yetu hadi kwenye hizo land locked countries. Hapa hakuna cha intuition theory au mnyama mwingine. It is the reality.
 
Pesa tulizokopeshwa km mradi ungeisha ndani ya miaka mitatu ingetubidi tulipe Lila siku milioni zisizopungua elfu Moja na zaidi Lila siku kea miaka 17 mfululizo,sasa km muda wa kulipa deni tunaangaikia kutengeneza,hiko kiasi ya pesa hatutaweza kulipa kea wakati na hapo ndo utasikia mradi amepewa fulani ili akusanye mapato,mara nchi zilizotukopesha zimeamua kuuchukua mradi kwa miaka 99 ili warudishe pesa yao na faida,au utasikia rasilimali fulani wamepewa ili tupunguza machungu ya deni lao...
Hiyo Milioni elfu Moja na zaidi kwanza hatuwezi kuilipa hata km mradi ungechukua miaka mitatu kuisha,inabidi viongozi wafikirie kea kina sera zao ili wajukuu wao wasije ishi maisha magumu na ya kuhakikisha..
Kuna mengi ya kusema ila muda sio rafiki
 
Pesa tulizokopeshwa km mradi ungeisha ndani ya miaka mitatu ingetubidi tulipe Lila siku milioni zisizopungua elfu Moja na zaidi Lila siku kea miaka 17 mfululizo,sasa km muda wa kulipa deni tunaangaikia kutengeneza,hiko kiasi ya pesa hatutaweza kulipa kea wakati na hapo ndo utasikia mradi amepewa fulani ili akusanye mapato,mara nchi zilizotukopesha zimeamua kuuchukua mradi kwa miaka 99 ili warudishe pesa yao na faida,au utasikia rasilimali fulani wamepewa ili tupunguza machungu ya deni lao...
Hiyo Milioni elfu Moja na zaidi kwanza hatuwezi kuilipa hata km mradi ungechukua miaka mitatu kuisha,inabidi viongozi wafikirie kea kina sera zao ili wajukuu wao wasije ishi maisha magumu na ya kuhakikisha..
Kuna mengi ya kusema ila muda sio rafiki
tatizo ambali liko sasa ni siasa. siasa inapenyezwa hata tu kwenye masuala ya kitaalam ..mpaka kwenye afya.

ndio maana unaona mambo yanakwama. yakikwama wanakaa kimya kama sio wao.

ili hii mirad iendeleee.. siasa lazima ziwe cut off from mirad ya kitaalam
 
Naomba unioneshe namna reli itatoka Mpanda Hadi Kalemie upande wa Congo.


Nimekuwekea ramani ili uone unavyojichanganya.View attachment 1696246
Mbona wala sioni kama nimejchanganya. Direct opposite ya Kalemie port ya Kongo kwa upande wa Tanzania kuna Kalemi port ambayo kwenye ramani haipo lakini tunaijenga pamoja na meli kubwa. Hivyo Mpanda to Kalemi ni shortest distance kuliko ya Kigoma to Kalemie ambayo nayo itawezekana baada ya sgr yetu kufika Kigoma.
 
Mbona wala sioni kama nimejchanganya. Direct opposite ya Kalemie port ya Kongo kwa upande wa Tanzania kuna Kalemi port ambayo kwenye ramani haipo lakini tunaijenga pamoja na meli kubwa. Hivyo Mpanda to Kalemi ni shortest distance kuliko ya Kigoma to Kalemie ambayo nayo itawezekana baada ya sgr yetu kufika Kigoma.
Fafanua maelezo yako.
 
Back
Top Bottom