Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Wakiandika vinyuzi vyao hapa, wanajiona wako peke yao
 
Walikuwa wanaroga watz kwa mwenge ... akili za watu mwaka huu zimerudi...walisema CDM inakubalika mijini tu sasa hivi vijijini wamecharuka kuliko mjini...
 
Mganga yupi anaweza kuwasaidia Gwajima Na Meko washinde kwenye nafasi zao ?
 
Hata kura za Fb Magu haongozi acha kudanganya hapa. Mwanzo mlisema kuwa Lisu anaongoza Fb na JF lakini hivi sasa mmekuja na hoja kuwa Lisu anaongoza JF ila Fb anaongoza Magu. Fb watumiaji wengi ni vijana na mgombea wenu hana ushawishi kabisa kwa vijana kutokana na Sera sake mbovu za elimu, ajira, mikopo, mishahara, na afya. Kwa ufupi hakuna sekta yenye unafuu awamu hii
 
Maskini,

Ni i mpumbavu pekee anaefikri Lisu huyu ndio atashinda urais mbele ya Magu na ccm
 
Hiyo 20% unayoiimba kila siku umeijuaje? Au ndivyo mmpanga huko Tumeccm? We are watching.
 
Zindiko la mwenge limekiukwa sababu ya ujio wa corona, mwenge uliokuwa ukizipumbaza akili za watz haukukimbizwa this year thus akili za watz zimefunguka
 
Maskini,

Ni i mpumbavu pekee anaefikri Lisu huyu ndio atashinda urais mbele ya Magu na ccm
Waliozulumiwa korosho zao
Walionyimwa nyongeza za mishahara
Walioliwa rambirambi zao
Waliochomewa nyavu zao
Waliofilisiwa
Waliobambikwa kesi
Walionyimwa mikopo
Waliokosa ajira
Ndio watakao mpigia Lisu.
 
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
FB ni kwa wanafiki wanaotegemea kula yao kwa kuuza sura. Wanaoamini Tanzania inawezekana bila CCM hawapotezi muda kwenda FB kwa sababu vyombo vyote vya dola vinatumika kuwalinda wezi katika hilo bonde la kashfa. Nzi ukiwaona wanatua pahala kwa wingi, hapo lazima kuna dampo na CCM ni dampo ya kweli kweli.
 
Kuichagua CCM ni kuleta balaa jingine ndani ya miaka mitano.

Ni vizuri sasa wapishe ,wakae pembeni.
 
Zuio la mikutano 5 yrs plus manunuzi ya wanaopigiwa kura ccm tunaomba tathmini je lilikuwa ni wazo lenye faida au hasara
 
Tatizo ni moja tu mililo nalo, mnataka kubeti hadi kwenye Maisha yetu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…