MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kwa kweli sisi wa Misri wa JF anatukosea sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama mimi ni raia wa TZ lakini makazi yangu kwa muda mrefu yamekuwa huko Misri mtanikataza kushangilia timu nayoikaina
Passport itaamua kama unayo, hauna kapumzikePasport
hahahahaha... lazima aonyeshe gamba kuwa ameishi hapo CairoPasport
Kimenuka[emoji23]Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
suala la uzalendo ni ni muhimu sana kulitilia maanani na kuliwekea utaratibu...Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Kupenda ni kuchagua siyo kuchaguliwaYapi maoni yako?
Na uzalendo sio mavazi. Mwigulu anavaa bendera ya taifa lakini alitushawishi tuhamie burundi. Na bado hatendi chchote kinachodhihirisha uzalendo..suala la uzalendo ni ni muhimu sana kulitilia maanani na kuliwekea utaratibu...
Mgambo washapewa amri, baki home tuAache kututisha, kwani nchi ya kwake? Hii sio nchi ya kidikteta.
Nitavaa yangu ya Mamelod-Ubuntu Botho halafu aniguse mtu!