Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ndiyo maana bible inasema, "Hata mpumbavu akikaa kimya huonekana ana hekima."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nani huyo ili arekebishwe kama anaenda kinyume na utaratibu...Na uzalendo sio mavazi. Mwigulu anavaa bendera ya taifa lakini alitushawishi tuhamie burundi. Na bado hatendi chchote kinachodhihirisha uzalendo..
Uzalendo unatoka moyoni
Kapoka uhuru.Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Uende ukaangalizie Misri.Sasa kama mimi ni raia wa Tanzania lakini makazi yangu kwa muda mrefu yamekuwa huko Misri mtanikataza kushangilia timu nayoikubali?
Kila nchi ina utaratibu wake. Na utaratibu wa Tanzania ndiyo huo, so ni lazima kuufuata.Sasa kama mimi ni raia wa Tanzania lakini makazi yangu kwa muda mrefu yamekuwa huko Misri mtanikataza kushangilia timu nayoikubali?
Hapo sawa.Hautasumbuliwa.Ninaingia nikiwa nina jezi mbili Basi Moja inakuwa ndani ya mamelody na Ya yanga ninakuwa nimeivaa kwa nje nikiingia ndani navua ya ynga simple tu..
Kama shida ni Getini tutafanya hivyo
Ukiangalia umbo lake tu linakupa picha juu ya kile anachokisema.Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Tamko la serikali hata kama likisema unaombwa ni amri na sheria kwa wakati huo.Leta fuyo uchakae bila shuruti.Ni sheria namba ngapi itakayotumika kuondoa hao mashabiki?
Tutakushika na kukupiga juu.Kwani Hili.swala la.kupangiana Vitu vya kupenda si liko kinyume na Katiba yenu ya Tanzania..
Sasa Kama mimi ni mamelody utanilazimisha nishabikie Yanga
Tena PhDWazir Ndumbaro mara nyingi amekuwa akionyesha uwezo mdogo Sana kwenye reasoning.
Inasemekana NI mwanasheria . Ajabu Sana hii.
Adhibitiwe mapema maana Kwa uropokaji huu na polisi tulionao inaweza kuwa vurugu kubwa siku ya mechi.
Suluhu ni Yanga na Simba kuhamasisha mashabik wao kununua mapema na Kwa wingi tiketi ili kutawala uwanja siku ya mechi.
Ni amri ya serikali na si Ndumbaro.Mind you!Ukiangalia umbo lake tu linakupa picha juu ya kile anachokisema.
Inamaana hakuna mashabiki wa Al Ahly au Mamelodi Tanzania hii?View attachment 2939184
Ushabiki na mapenzi havilamishwi, uzalendo haulazimishwi. wazir unashindwa kuja na strategy nzuri ya kufanya watu waipende tema yao? Wenzetu wanawezaje? Poor ideasUkija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Hamna sheria ya uzalendo, imeandikwa wapi?Sheria ya uzalendo na maslahi kwa Nchi
Sasa washabiki wa Mamelodi na Al ahly mboni tinaonewaaa wajameniiii😢😢😢😢Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
Ni ujinga mimi shabiki wa Mamelodi sitakiwi kuishangilia timu yangu?Ni amri ya serikali na si Ndumbaro.Mind you!
Huo ni ukandamizajiTamko la serikali hata kama likisema unaombwa ni amri na sheria kwa wakati huo.Leta fuyo uchakae bila shuruti.