kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Yaani nchi inaendeshwa Kwa utashi wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anaitwa Ngumbaru unategemea ajue katibaIvi mwalimu wake wa Constitutional law na human rights anajisikiaje huko alipo...
Yan anafanya vitu kama layman kabisa wakati anajua kabisa katiba inasema kuwe na uhuru binafsi
Mpira haipo hivyoB... Mi hili suala naunga mkono 100% tena tumechelewa sana. Tumekuwa kama wendawazimu kushangilia wageni.
Sawa, utani upo tutaniane (kama mimi ile siku ya Wydad japo najutaga sana) ila sio katika kiwango tulichofikia cha kuujaza uwanja kushangilia wageni.
Watakaokiuka wageuzwe mfano, na iwe serious maana nchi yetu hii utekelezaji sifuri.
Sasa jamani si unaona nimemquote mtu lakini? Huo ujumbe ni wake.Mpira haipo hivyo
Kushangilia mahasimu muda mwingine ni ili kuwafanya watani wafanye juhudi washinde, sio lazima iwe kukomoana.Sasa jamani si unaona nimemquote mtu lakini? Huo ujumbe ni wake.
Anyways, kila mmoja yuko sahihi kwa upande wake na sikupingi.
Kwahiyo unataka kusema kuujaza uwanja kushabikia timu ngeni ambako kunawapa morali ya kuifunga timu ya nyumbani ndiko kuwafanya watani wafanye juhudi washinde?Kushangilia mahasimu muda mwingine ni ili kuwafanya watani wafanye juhudi washinde, sio lazima iwe kukomoana.
Yeah! Itawafanya wafanye juhudi ili 'to prove you wrong'.Kwahiyo unataka kusema kuujaza uwanja kushabikia timu ngeni ambako kunawapa morali ya kuifunga timu ya nyumbani ndiko kuwafanya watani wafanye juhudi washinde?
ana PgUkija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua ukapumzike” Damas Ndumbaro, Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Yapi maoni yako?
View attachment 2939197
Ana PhD huyoHuyu Jamaa hii Wizara imemshinda..., Hii Serikali wanashindwa kufanya mambo ambayo tunawalipa wayafanye matokeo yake wanaingilia mambo ambayo yapo sawa na kuharibu...
Ccm akili watoe wapi, mtu kabla ya kusifia timu zetu zenyewe anaanza kumsifia raisi, nchi imekua ya kiboya sana hiiHilo bomu analolitengeneza atajuta
Kuvaa hizo jezi haitozuia Simba /Yanga kushinda,kufungwa au kusuluhu
Mchezo ni uwanjani, hizo jezi hazina cha kufanya na hata hiyo solidarity forever haipo basi tu
Kwa hiyo tuanze kukagua shabiki mmoja mmoja passport, like serious?
Waziri katoa boko, kama anataka kutumia hii platform kupanda chati kisiasa kafeli
Wewe hebu nyamaza usinikumbushe machungu ya mechi ya fainali Vs USM Alger, watu wamejazana uwanjani kuwashangilia bado tulivyotoka tumezomewa njia nzima na kutukanwa juu.Yeah! Itawafanya wafanye juhudi ili 'to prove you wrong'.
Mkifufuliza kuwafunga hao wageni kwa vipigo vikubwa hao washangiliaji watapotea wenyewe kwa aibu.
Word...Wewe hebu nyamaza usinikumbushe machungu ya mechi ya fainali Vs USM Alger, watu wamejazana uwanjani kuwashangilia bado tulivyotoka tumezomewa njia nzima na kutukanwa juu.
Tufanye hayo kwenye mechi zetu za ndani, kimataifa hapana.