Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,619
- 5,780
Kinacho ipeleka timu kwenye mafanikio ni wachezaji bora na maandalizi mazuri ya timu ndio maana timu hata ikicheza bila mashabiki inashinda kuzomea au kushangilia ni haki ya shabiki wa mpira na hapangiwi timu ya kushangilia na mtu awae yoyote yule, labda utuambie hapa mtu akivaa jezi ya Mamelodi anakua amevunja sheria gani ya nchi?
jezi zitavaliwa na wageni watashangiliwa kama kawaida hio ni kawaida yetu na hakuna wakutupigia kelele kwenye hilo
jezi zitavaliwa na wageni watashangiliwa kama kawaida hio ni kawaida yetu na hakuna wakutupigia kelele kwenye hilo