hakunka mahali mleta mada amesema makaa ya mawe toka songea hayatoshi; post yake inasema songea ni mbali na ni gharama labda reli ijengwe kesho.Na unaowaambia maji ya bomba yanapatikana kwa tabu mjini Dar es Salaam watakushangaa pia. Kwa sababu kila siku wanauona mto Ruvu umejaa maji!
Mleta hihi kaeleza kwamba hayatoshi na gharama ni kubwa! Form 4 inee?
Hawa madereva wa Kitanzania si ndo wale wameajiriwa Kenya kwa malipo kiduchu huku wakilalamikiwa na wenzao wa Kenya, hapa ndiyo wataweza kugoma.!unaposema makaa ya mawe yanatoka nje nakuwa sikuelewi na pia watu wa kule songea watakushangaa maana kila siku asubuhi wanapishana na mamia ya malori ya dangote yakisomba makaa kupeleka kiwandani.
Vile vile nilichokisikia mimi ni malipo madogo sana kwa madereva wa hayo malori tofauti na mishahara mikubwa wanayolipwa raia wa kigeni
Tuwe na sera ya uchumi ya muda mrefu hata rais au chama wakibadilishwa na Mfumo wa demokrasia basi yeye anaendelea kuitekeleza hiyo sera na kuiboresha...mkuu Umewahi kufanya Biashara japo ya GENGE? Shida kubwa tuliyonayo kwenye hii NCH hatuna SERA ya UCHUMI inayoeleweka
kila RAIS angeingia madarakani anakuja na yake... so usidhani mtu kama Dándote anafanya Biashara kwa muda mrefu asijue hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kama kuna uncertainty kwenye fiscal policies, political landscape na investment climate.Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs
Hizi ndizo akili za kipumbavu anazozisema Che Nkapa.,we have been here ever since and we will be.
Dangote ndo alifanya cement iwe 10,000.Kuagiza makaa ya mawe toka songea ni gharama kubwa lakini kuagiza toka afrika ya kusini ni gharama nafuu!!!! Uongo mwingine hata shetani hajawahi kuufanya! Na aondoke! Hatukuanza maisha baada ya Nangote kuja Tanzania na maisha hayatakoma baada ya Dangote kuondoka Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mleta mada sio mwongo, ha ha ha.Mwongo mkubwa
umepata faida gani kwa kuandaa ujinga huuIngawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.
Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow
Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Ikulu ni Mzigo - Nyerere .Kuna kitu amazing Magufuli anataka kutufanyia ila kelele za kushangilia zitakapotulia ndio tutaelewa.
Yaani kizungu tuseme, anatu 'backdate '
Sasa aendelee kuingia hasara zaidi ili kulinda hasara ya zamani ? CCM imemwingiza mkenge Dangote .Afunge Kiwanda cha zaidi ya 300 Million US Dollars, hiyo gharama atamrudishia Babako?
This is new Tanzania!!....Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.
Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow
Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Mkuu, tatizo sasa hivi ni kwamba serikali hatabiriki. Hiyo ni sumu kwenye uwekezaji.Siyo kwamba walishindwa ku forecast bali tatizo ni political instability, utawala wa Kikwete uliwaruhusu kuagiza makaa ya mawe Afrika Kusini leo umeingia utawala wa Magufuli wamezuiwa.
Mkuu forecasting in african politics ngumu sana. Unapoamua tu kusitisha aina fulani utaratibu jua unayumbisha biashara. Hata kama hayo makaa ya mawe yapo ama gesi,kama vinapatikana kwa gharama kuliko nje kuna ulazima gani wa kumlazimisha achukue nchini. Zipo mechanism za kuzilinda hizi biashara kubwa maana faida sio kwa wawekezaji tu.Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor