Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bwana huyu kazidi...mie sijapenda besty yangu kudhalilishwaMbona nishakubali matusi mkuu,ndo Kaz yangu nitafanyaje sasa
Sio madaktari wa milembe?Kama huna akili oa mwalimu, maana anakaa na wasio na akili hata 100 huko shule hawezi kushindwa kukaa na wewe usiye na akili mmoja nyumbani.
Achana nae,kajaaliwa kifaacho maneno mengi Sina mieHapana bwana huyu kazidi...mie sijapenda besty yangu kudhalilishwa
AMEN MAMA MCHUNGAJIAcheni kuwanunua, wachukueni mkae nao ndani muendeshe maisha
Waoeni kabisaaa
Kanuni iliyosukwa na kupelekea kutungisha sheria ndo inapelekea ugumu kukamata hawawatuWakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Shida ni hawaSiku wanaume wakiacha ukahaba basi ujue wanawake wamepona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida yote hii ni hawa wanaume
Wewe umesema huna akili, huyo to yeye wapi kasema hana akili? Acha ujinga.Wee naona unamtukana besty yangu to yeye
Yeye sii mwalimu.Wewe umesema huna akili, huyo to yeye wapi kasema hana akili? Acha ujinga.
Demand and supply curve zita shift.Atleast sio kila siku tunafata huduma sinza, supply ikiwa kubwa itasaidia ku dhibiti bei.
Wakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
AllahWakuu
Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro
Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu
Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu
Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu
Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Asante kwa taarifa..nitapita hapo nikiwa narudi dsm kutokea huku bukoba...nipunguze machungu ya safari.5000 to 7000
Halafu mleta uzi anaomba serikali iingilie kati..aje asome hii comment ndio ajue serikali yenyewe ina mlengo gani kuhusu hao malaya.Hii biashara haiwezi kwisha kuna dada nafahamiana naye ananambia Kwa siku kulaza 100000 kwake ni Sawa na kumsukuma mlevi , Pili ukiwa muuzaji lazima uwe na danga polisi ili ukikamatwa hukai unakuja kutolewa.
Kuna siku walibebwa na difenda usiku wakapelekwa guest kila polisi akachagua nyama yake fresh asubuhi wakarudi zao .
Kikubwa ni uhai Tu.
Oi..tuma link..naona unyama sana.Wewe jamaa uko nyuma ya wakati sana sana... Ukiyaona ya mitandaoni ndiyo utastaajabu mara 1000.
View attachment 2314045