Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

wee kata simu/net work tupo kaziniii ..... kwa GODi na lubumbashi hakutaa kaa kukute eneo la kwa machenii na hata uwanja wa fisi manzesee
 
Kama huna akili oa mwalimu, maana anakaa na wasio na akili hata 100 huko shule hawezi kushindwa kukaa na wewe usiye na akili mmoja nyumbani.
Sio madaktari wa milembe?
Maana shulen sio kwemba watu hawana akili Bali kuna wagumu wa kuelewa na wagumu kukalili
 
UZI UNATEMBEA BALAA!

TANGAZO HILO: location mbezi mwisho kwa god!
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Kanuni iliyosukwa na kupelekea kutungisha sheria ndo inapelekea ugumu kukamata hawawatu

Pia hakiyao ukiona bidhaa inauzika ujue wateja wapo

Kikubwa yaazishwe rasmi madanguro ili serikali ipate kodi mambo mengine yaendelee
 
Siku Moja Niko Kazin, anakuja Bidada Mmoja mweupe ana Shep huyo balaa , sura nzuri haswa.

Alimleta Rafiki yake Mgonjwa .

Basi Nikawahadumia ,wakahudumiwa , kwakua Huyu Bidada mweupe ni Pisi , nikakuambia anipe namba akanipa.

Kesho yake nilimtafuta nikampanga akajaa.

Kesho kutwa yake mida ya saa 10 natoka Job , nikampitia Mahali basi tukaelekea Hotel


NIWE WAZI, Huyu Manzi ni Pini sana ,Kwa hivo nikaamua kumpendelea kabisaaa , nikachukua Chumba Kwa Hotel ,very expensive.


Midamida nikafata ZANGU Rough Rider Condom pakiti 2 Nikapiga shooo vizuri kesho yake Asubuhi nikamuachia Elfu Sitin maana alilia ana shida Fulani then MAISHA yakaendelea..


Siku Moja nimetoka Job mida ya saa 3 usiku, nikaona nipite Mahali Nile nyama choma...( Ni Pub hivi kubwa ya Kisasa wenye ulevi waleweka , sisi walaji wa nyama tunakula nyama.)


Aiseee ile naendelea kula, macho yakaanguka Kwa Mwanamke mweupe ninayemfaham, sikuamin ,nikasogeza pemben kumcheki ni YULE YULE DADA AMBAYE WIKI ILOPITA TUMEKULANA NA NMEMPA 60K.


Amevaaa Nusu uchi wa mnyama , nikafata , aiseee alishtuka Sanaa sanaaa sanaaaaaa .

Nikamtuliza, nikamwambia Relax relax , naelewa Maisha ya Kitanzania yalivyo.

Demu akaanza kutoa machozi palepale , nikachukua, tukarudi kwenye ile Meza.


Ndo akaanza kunipa Stori ya kwann amefika pale.

Kukatisha Stori, ni msomi mzuri tu ambaye alijikuta kwenye biashara hiyo ya Kujiuzaa akiwa chuoni UDOM, aliolewa akatuliaa, baadae wakaachana, akaamua kurudi kwenye Biashara hiyo.



nikamnunulia pombe nikasepa , ninawasiliana naye vizuri .


NISEME NENO MOJA

👉Wanawake wanaojiuza now days hawakuambii wanajiuza, , HUYU ALINIAMBIA NI MKE WA MTU .( Kumbe aliniambia vile ili Kujipandisha HADHI na thamani ).


Kwa stahili hii, ni wazi ,wanaume wengi tumetembea na Wanawake wanaojiuza .


Sasa kipi kifanyike?? biashara ya Ukahaba ilianzia tangu na tangu

Na kwakua ilianzia tangu na tangu, HAIPASWI KUHALALISHWA KWA SABABU ITAHARIBU ZAIDI VIZAZI.


Kwa Muktadha huo, wacheni Serikali na Wafanya biashara hii wapambane wao Kwa wao mpaka pale YESU ATAKAPOKUJA KULIPA UJIRA WA KILA MMOJA MMOJA SAWA NA MATENDO YAKE.



Kinyume na hapo, itakua ni sawa na Waislam wanywa Pombe na kula Kitimoto kimyakimya.
 
Inasikitisha sana, weka picha members watoe miongozo...
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe

Jeshi la polisi kutoka nchi gani?

Ungejua hao wenyewe wakikamata makahaba wanaomba namba

Wanaume wote tunatamani kukutana na wanawake wanaojua kazi kitandani, sasa kahaba is the best

Utanipinga hapa ila kimoyo moyo kwa kahaba hutoboi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Allah
 
Hii biashara haiwezi kwisha kuna dada nafahamiana naye ananambia Kwa siku kulaza 100000 kwake ni Sawa na kumsukuma mlevi , Pili ukiwa muuzaji lazima uwe na danga polisi ili ukikamatwa hukai unakuja kutolewa.

Kuna siku walibebwa na difenda usiku wakapelekwa guest kila polisi akachagua nyama yake fresh asubuhi wakarudi zao .

Kikubwa ni uhai Tu.
Halafu mleta uzi anaomba serikali iingilie kati..aje asome hii comment ndio ajue serikali yenyewe ina mlengo gani kuhusu hao malaya.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom