Daniel Chongolo wa CCM: Watu Wanataka Katiba Mpya Kwa Maslahi Binafsi

Daniel Chongolo wa CCM: Watu Wanataka Katiba Mpya Kwa Maslahi Binafsi

Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM ametoa tahadhari wa Wananchi dhidi ya Matapeli wanaojifanya kutaka Katiba Mpya kumbe ni Kwa maslahi Yao binafsi ya Kisiasa..


My Take
Naunga mkono hii hoja maana suwaoni asasi za kijamii kupigania Wananchi badala yake ni Vyama vya siasa ndio wako mbele mbele Kwa mgongo wa Wananchi ila ni maslahi Binafsi..
Na CCM inang'ang'ania katiba iliyopo kwa maslahi ya Chama.
 
Maridhiano hayana maana yeyote kwa upuuzi huu wa kina chongolo, hii KATIBA AMBAYO ITASIMAMIWA NA CCM HII YAKINA NCHEMBA, ITAKUWA BORA YA ILE YA 1977, HAPA BORA JINO KWA JINO MPAKA KATIBA YA HAKI IPATIKANE.
 
Mimi pia naunga mkono hoja, ningependa katiba mpya ingeundwa na viongozi wa dini, wakimila na asasi za kiraia, vyama vya siasa visihusike kabisa.
 
Wajinga ni wengi sana nchi hii, hiyo katiba ya 1977 iliandikwa kwasababu gani? Wakati kabla ya 1977 nchi ilikuwa ikiendeshwa. Wajinga wa sasa wangekwepo kabla ya uhuru sijui kama uhuru ungepatikana make hoja zao zingetupiliwa mbali sana na watawala wa kikoloni.
Punguzeni ujinga wanaCCM
 
Punguza makasiriko, mnalishwa mataputapu mnashindwa kujiongeza. Nilishiriki uchaguzi mkuu wa 2020 kuanzia kwenye kuandikisha wapiga kura kwenye daftari la kudumu, kusimamia uchaguzi mkuu na kuhesabu kura na kutangazwa matokeo, nikiri kusema ni moja ya uchaguzi fair sana kila box la kura lilifunguliwa kwa uwazi, uhesabuji ulifanyika kwa uwazi na matokeo yalitangazwa kwa uwazi. Ninaposikia stori humu za tume kutokuwa huru, nashangaa sana:

Nilichobaini baada ya kila zoezi:

i. Upinzani hauna nguvu kubwa mtaani ila mitandaoni tunadanganywa.
ii. Upinzani hautumii nguvu kuelimisha na kushawishi kujiandikisha.
iii. Upinzani hawaamini kwenye kushindwa na hapa wameweka kusudi la kushinda kupita kiasi.
iv. Wanadanganyika kwenye mikutano kwa wingi wa watu lakini wengi wa wanaohudhuria mikutano ya CHADEMA ni watoto wadogo ndio maana ni rahisi kusikia mama kapotezana na watoto wake watatu
Kweli wew ni zuzu kweli kwerii
Huo ujinga unao uonesha ni afdhari ungekaa kimya. Wew sio wa kwanza kusimamia uchaguzi kuna watu tumesimamia uchaguzi tena hata wapinzani hawakuwa na mawakala badala yake msimamizi wa uchaguzi ndio unahesabu kura zao na kuziandika.

Niliwahi simamia uchaguzi ktk kituo changu Chadema hawakuwa na mawakala lakini waliongoza ktk kituo changu na mawakala wa vyama vingine wakasaini kuwa ni kura halali.
Kilichotokea 2020 hakukuwa na uchaguzi kama hujui kaa kimyaaa.
Kwa tume hii iliyopo sasa siwezi poteza muda kusimama kwenda kupiga kura.
 
Hakuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya ni ujanja na utapeli tuu. Hii katiba ya 1977 ndiyo nzuri na ni urithi kutoka kwa mwalimu nyerere. Katiba hii ni nzuri sana endapo tutapata raisi mwenye hekima kama nyerere.

Hawa viongozi wa sasa hivi hawana maarifa ya kutengeneza katiba ona muswada wa sheria ya usalama wa taifa. Watanzania wangekuwa na akili wangeachana na mambo ya katiba kwani. Sheria kibao sasa hivi zina kinzana kipengele cha conflicts of law.

Katiba watakayo lazimisha kuiletea watanzania hawata iunga mkono.

Hakuna kiongozi mwenye akili ya kutengeneza katiba kwa sasa hivi wala msidanganywe.
Kama mtu kama jpm akiridi ten kwa katiba hii si atanyonga raia wote. Tunataka katiba mpya ili rais mwenye kaliba ya jpm asijipenyeze mana nchi ilikuwa hoi bin taaban chini yake
 
Kama mtu kama jpm akiridi ten kwa katiba hii si atanyonga raia wote. Tunataka katiba mpya ili rais mwenye kaliba ya jpm asijipenyeze mana nchi ilikuwa hoi bin taaban chini yake
Katiba mpya ni muhimu sikatai ila sio kwa viongozi wa serikali hii, uwezo wa kuleta katiba mpya imara hawawezi hamna kiongozi serious hata mmoja achilia mbali kiongozi mwenye sifa ya kuwa intelectual labda kama wakina Mtikila au Mvungi wangekuwepo
 
Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM ametoa tahadhari wa Wananchi dhidi ya Matapeli wanaojifanya kutaka Katiba Mpya kumbe ni Kwa maslahi Yao binafsi ya Kisiasa..


My Take
Naunga mkono hii hoja maana suwaoni asasi za kijamii kupigania Wananchi badala yake ni Vyama vya siasa ndio wako mbele mbele Kwa mgongo wa Wananchi ila ni maslahi Binafsi..
Kwa akili zenu finyu mlitaka vyama vya siasa visubiri Asasi hizo ndiyo zitangulie ?!.

Kama hawana utashi ndiyo basi tena.
Kila upande upiganie yale mapungufu yaliopo wanayoyaona yaondolewe.
 
Hayo aliyoyasema Chongolo kama agenda muhimu ndizo wanazotumia CCM kufubaza uwezo wa wananchi kufikiri.

Chongolo atuelezee kuanzia uhuru hadi leo suala la pembejeo lipoje? CCM imetekelezaje?
Huyu Chongolo yeye hataki katiba mpya kwa maslahi binafsi yake pia.
Siku hizi hajui hata anaongea nini.
 
Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM ametoa tahadhari wa Wananchi dhidi ya Matapeli wanaojifanya kutaka Katiba Mpya kumbe ni Kwa maslahi Yao binafsi ya Kisiasa..


My Take
Naunga mkono hii hoja maana suwaoni asasi za kijamii kupigania Wananchi badala yake ni Vyama vya siasa ndio wako mbele mbele Kwa mgongo wa Wananchi ila ni maslahi Binafsi..
Ngombe
 
Hata yeye Chongolo na chawa wenzake katiba iliyopo inawanufaisha sana ndio maana hawataki katiba mpya.
 
Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM ametoa tahadhari wa Wananchi dhidi ya Matapeli wanaojifanya kutaka Katiba Mpya kumbe ni Kwa maslahi Yao binafsi ya Kisiasa..


My Take
Naunga mkono hii hoja maana suwaoni asasi za kijamii kupigania Wananchi badala yake ni Vyama vya siasa ndio wako mbele mbele Kwa mgongo wa Wananchi ila ni maslahi Binafsi..
Chama kisicho taka katiba kinaipenda ya Sasa maana ya Sasa inawapa uhakika wa kuiba uchaguzi
 
Maneno ya Chongolo
20230604_114150.jpg

Kakazia tena
20230604_113030.jpg
 
Ndio maana huu mchakato unatakiwa uondolewe mikononi mwa wanasiasa, hawa watalilainisha hili jambo, waligeuze la kisiasa, waanze kurushiana maneno na vijembe, siku ziende, matokeo yake tuendelee kubaki hapa tulipo.

Inawezekana kabisa hawa CCM wameshazoea Chadema ndio wako mbele kwenye madai ya Katiba Mpya, sasa wanachofanya wameshaanza kuwatafutia majibu mepesi ya madai yao, watanzania lazima tupate suluhisho na njia mbadala ya kuwezesha kuipata Katiba Mpya tuitakayo kwa vitendo.
 
Ndio maana huu mchakato unatakiwa uondolewe mikononi mwa wanasiasa, hawa watalilainisha hili jambo, waligeuze la kisiasa, waanze kurushiana maneno na vijembe, siku ziende, matokeo yake tuendelee kubaki hapa tulipo.

Inawezekana kabisa hawa CCM wameshazoea Chadema ndio wako mbele kwenye madai ya Katiba Mpya, sasa wanachofanya wameshaanza kuwatafutia majibu mepesi ya madai yao, watanzania lazima tupate suluhisho na njia mbadala ya kuwezesha kuipata Katiba Mpya tuitakayo kwa vitendo.
Nakubaliana na wewe.
 
Back
Top Bottom