johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kamanda wewe ukimuangalia Mbowe usoni unamuona yuko serious na Katiba mpya au anamdhibiti Tundu Lisu kiaina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali fikirishi !!Kamanda wewe ukimuangalia Mbowe usoni unamuona yuko serious na Katiba mpya au anamdhibiti Tundu Lisu kiaina?
Wewe huna hoja bali una ugomvi binafsi na Mbowe, hivi huko CCM hakuna mwanaume wa kukufikisha hadi umng'ang'anie Mbowe tu kwa sababu post na nyuzi zako kwa 100% unapambana na Mbowe. Hata mods na nyie huwa hamuangalii maudhui ya nyuzi siku hizi?
Mbowe ni nani asishambuliwe ,unadhani unaweza kuzuia HiloWewe huna hoja bali una ugomvi binafsi na Mbowe, hivi huko CCM hakuna mwanaume wa kukufikisha hadi umng'ang'anie Mbowe tu kwa sababu post na nyuzi zako kwa 100% unapambana na Mbowe. Hata mods na nyie huwa hamuangalii maudhui ya nyuzi siku hizi?
Hii ni kauli kutoka jikoni. Sisi ni nani tuipinge? Mbowe analamba asali
Tukuulize wewe maan upo kweny msafara wa comred chongolo ukiwa kama chawa pro max wa CCM!!
That cannot be.Tukuulize wewe maan upo kweny msafara wa comred chongolo ukiwa kama chawa pro max wa CCM!!
Acha ujingaSiku hizi hata CCM mnajiita makamanda?
Acha kudanganywa na kukuririshwa hao wanasiasa sio wananchi? Hao unaowaita wananchi utawapata, kwa .mchakato gani? Ili mchakato uanze hadi ukamilike lazima utaratibu wa kisheria uwekwe ambao ndio utakaoongoza kuanzia kupata waju.mbe hadi upigaji kura ya maoni na kote huko watanzania toka background mbalimbali watashiriki. Huwezi piga mstari .tu toka kundi fulami haruhusiwi.Ndio maana huu mchakato unatakiwa uondolewe mikononi mwa wanasiasa, hawa watalilainisha hili jambo, waligeuze la kisiasa, waanze kurushiana maneno na vijembe, siku ziende, matokeo yake tuendelee kubaki hapa tulipo.
Inawezekana kabisa hawa CCM wameshazoea Chadema ndio wako mbele kwenye madai ya Katiba Mpya, sasa wanachofanya wameshaanza kuwatafutia majibu mepesi ya madai yao, watanzania lazima tupate suluhisho na njia mbadala ya kuwezesha kuipata Katiba Mpya tuitakayo kwa vitendo.
Pumbavu mburula huna akili. Hujui utaratibu wa kuunda katiba huanzia kwa wananchu. Unajua white pepar ni nini? Hujui tume ya warioba ilikusanya maoni ya wananchi? Pumbavu mkubwa.Acha kudanganywa na kukuririshwa hao wanasiasa sio wananchi? Hao unaowaita wananchi utawapata, kwa .mchakato gani? Ili mchakato uanze hadi ukamilike lazima utaratibu wa kisheria uwekwe ambao ndio utakaoongoza kuanzia kupata waju.mbe hadi upigaji kura ya maoni na kote huko watanzania toka background mbalimbali watashiriki. Huwezi piga mstari .tu toka kundi fulami haruhusiwi.
Andiko lako hili mtu yeyote prudent akisoma anaona kabisa hauko timamu.Pumbavu mburula huna akili. Hujui utaratibu wa kuunda katiba huanzia kwa wananchu. Unajua white pepar ni nini? Hujui tume ya warioba ilikusanya maoni ya wananchi? Pumbavu mkubwa.
Punguza hasira kada tiifu toka Lumumba!!Pumbavu mburula huna akili. Hujui utaratibu wa kuunda katiba huanzia kwa wananchu. Unajua white pepar ni nini? Hujui tume ya warioba ilikusanya maoni ya wananchi? Pumbavu mkubwa.
Ccm ndio kuna upinzani wa kimaendeleo. Upinzani nje ya ccm ni wa waganga njaa tu. Walimpinga jk kwa hoja ya ulaji rushwa magendo na uzembe serikalini na yeye kua kiongozi dhaifu. Ccm ikawaletea jibu kupitia jpm wakamuita dikteta. Sasa wamekuja na katiba. Wanaccm asilia wako tayari kwa kuendeleza pale alipoachia jpm kwa suala la kuleta maendeleo kwa umma wa watanzania. Katiba sio kipaombele wala sio kikwazo. Tuna katiba nzuri tu. Mapungufu yanaweza kurekebishwa bila ulazima kua ajenda kuu na kusababisha matumizi makubwa ya fedha ya umma.
CCM kazi yao ni propaganda tu. Wameo go a hii nchi miaka yote kwa propaganda.Ndio maana huu mchakato unatakiwa uondolewe mikononi mwa wanasiasa, hawa watalilainisha hili jambo, waligeuze la kisiasa, waanze kurushiana maneno na vijembe, siku ziende, matokeo yake tuendelee kubaki hapa tulipo.
Inawezekana kabisa hawa CCM wameshazoea Chadema ndio wako mbele kwenye madai ya Katiba Mpya, sasa wanachofanya wameshaanza kuwatafutia majibu mepesi ya madai yao, watanzania lazima tupate suluhisho na njia mbadala ya kuwezesha kuipata Katiba Mpya tuitakayo kwa vitendo.