Daniel Chongolo wa CCM: Watu Wanataka Katiba Mpya Kwa Maslahi Binafsi

Daniel Chongolo wa CCM: Watu Wanataka Katiba Mpya Kwa Maslahi Binafsi

Braza huu ni ukweli usiopingika! Katiba ni sheria mama,ina vipengele kadha wa kadha na vifungu mbali mbali!

Asilimia kubwa ya watanzania elimu ni haba,hata hawa vijana wachache waliofika vyuoni ndo hao wa kuiba mitihani,kugoogle majibu,kuhonga penzi na kupata ufaulu!kichwani hamna kitu!

Nani atawasaidia watanzania kupata katiba ya kuwanufaisha wao na nchi badala ya wanasiasa?

Maana kinachoangaliwa hapo kwao wanasiasa ni urahisi wa kuingia bungeni hamna kingine!

TAFAKARI!
 
Kama wewe huna connection ya kibabe ndani ya ccm,ya kuweza hata kuteuliwa kuwa DC,na Hauna pesa,bado unapambana na ka salary chini ya M3,na unafikiria ccm itakuboleshea maisha,basi ndugu inabidi ukapimwe afya ya akili,
Sasa hv,ccm wameiteka nchi,kila taasisi na rasilimali ni kuhakikisha ccm inabaki ikulu,
Mwinyi,kikwete,Kinana,Samia,warioba,Hawa ndio wanaamua ulaji,nchi upo captured na magaidi ya ccm,hakuna nafasi utapewa kama huna misingi ccm,
Turia akson ni spika,mume wake ndio CEO wa Ewura.
Ndugai ni spika mstaadu,mke wake ni DC bahi!!
Ccm ni. Majizi,chochote wanqchofanya sio kwa sababu wanania ya kumaliza shida za wananchi,wanafsnaya ili mradi waendelee kuibq na kushika madaraka,kwenye mentality ya ccm,upinzani ni "necessary evil"wanauvumulia TU,lakini hawataki kabisa upinzani na hawapo tayari kuruhusu mazingira ya kuwezesha upinzani kushinda.
Polisi jeshi,wote Hawa wanashirikiana na wanasiasa wa ccm kuiba.
Njia pekee ya kutoa huu utawala dhalimu,ni mapinduzi,kama walivyofanya srilanka au walivyolianzisha senegal
 
Acha kudanganywa na kukuririshwa hao wanasiasa sio wananchi? Hao unaowaita wananchi utawapata, kwa .mchakato gani? Ili mchakato uanze hadi ukamilike lazima utaratibu wa kisheria uwekwe ambao ndio utakaoongoza kuanzia kupata waju.mbe hadi upigaji kura ya maoni na kote huko watanzania toka background mbalimbali watashiriki. Huwezi piga mstari .tu toka kundi fulami haruhusiwi.
Kwenye andiko lako umeniuliza jinsi ya kuwapata wananchi, halafu at the same time, ukajijibu mwenyewe namna ya kuwapata, hivyo sioni chakuongezea hapa.
 
Back
Top Bottom