Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Huu ni uongo mkubwa, tutoleee upuuzi wako hapa. Khaaaah
 
Anatuona kama madenzi.
.
150k unapata Ndama na Sio Ng'ombe
Labda beberu la mbuzi sio ndama wa ng'ombe. Atutolee ujinga wake hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda beberu la mbuzi sio ndama wa ng'ombe. Atutolee ujinga wake hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.
Hawa ndio akina Shigongo from Drs la 7 mpaka Degree ya Mascom
 
Mkuu vyote hivyo hatujabisha lakini jee hiyo hela inaweza ikajenga apartment
 
Danielo Miaka Ile anasoma UDSM boom lilikuwa 2500 hebu atueleze huyo rafiki yake alijengaje apartments?

Vijana wawe wakweli kama alikuwa anaboostiwa na wazazi au anabishara haramu aeleze waache kudanganya

Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio elfu tano?
 

Hatari sana
 
mie nimejenga ghorofa kwa boom na nishasahau kutembea na bahasha ya kaki kutafuta ajira,vijana tumieni hela vyema

Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena familia zengine za kimaskini ni mpaka ugomvi, watu wanaitolea macho pesa ya boom kisa wamesikia kuwa ela ni nyingi mpaka unajengea kabisa.

Ni hatari kwa kweli.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda beberu la mbuzi sio ndama wa ng'ombe. Atutolee ujinga wake hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Wengi wetu tunafikiria vile tunajua,ulizia kwa Bunda 2013-15 hiyo 150,000/= ilikuwa unanunua ng'ombe au beberu? Jamani wote hatuwezi kutumia akili zetu kwa namna moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…