Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mwakani kitawaka zaidi ya hapa
 
yule mhuni aliokubali sheria kubadilishwa ile ya mwaka 1996 kuhusu kukamata kwenye idara maalumu alikuwa na lengo ovu sana
Kabisa

Imefikia kipindi watu wanakamatwa kama Kuku kisha kupotezwa

It is very unfair
 
Mpk ss kiungo Gani cha mwili wake mmeshakitenguaa nyie police CCM...

Ni huzunii
 
Muoga ni muoga tuu ,,hata mkiambiwaje Bado mtakua waoga
 
Mtoto naye anaropoka sana,alikua hajui yupo dunia ya tatu lolote linaweza kumkuta.
Na si huyu kuna kipindi alijiteka akakutwa ifakara kwa mwanamke.
Shenzi kabisa.
 
Tatizo watu wengi wana nidhamu ya woga hivi kwel hata kama mtu katoa siraha anaweza kupiga watu wote? Huyo anaetumwa kazi pia anajua akileta ujuani wa kuuwa watu hadhalani hao waliomtuma watamgeuka na kumpeleka kwa pirato mwenyewe itokee siku watanzani wabadike na kushikamana katika huu ukamataji holela na sio kulalamika huku mitandaon nq kutoa kauli za kulaan tu ambapo mwisho wa siku tumeubaliki jina la wasiojulikana wauliwe na hata huo usafiri wao kuchomwa moto ikitokea hvyo hata mala tatu tofauti itapunguza haya matukio ya kijinga kwa sasa, na huku matukio siriasi vyombo vya usalama vinachukulia kama kimebebwa kifaranga mpaka sasa wanafatilia nn si wamchukue huyo mmiliki wa gar aeleze nan yupo na gar yake kama sio yeye au hili nalo linahitaji kupigiwa kelele?
 
 

Attachments

  • 5893626-2743c7572c5881f04ae7c078e6602840.mp4
    3.6 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…