Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Tupate na afya kbsItapendeza sana.Maana hata ulaji wa nyama utaongezeka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupate na afya kbsItapendeza sana.Maana hata ulaji wa nyama utaongezeka.
Umeenda mbali.Kiiza Besigye anakusabahi.Tanzania bado ni nchi ya kimasikini kuanzia akili , kipato na maarifa
Kiongozi Mkubwa Kama huyo anakamatwaje kizembe namna hiyo.
Anashindwa kutembea na ulinzi mkubwa wa silaha .
Anapandaji mabasi ya Abiria
Anakamatwaje bila hata kuwapiga Picha wahusika.
MTU Kama Abdul Nondo ambaye huwa anatambulika hadi Kwa vyama washirika huko ulaya Leo hii anakamatwa style hii
Ni vizuri Kama Chama Kama Wananchi na Taifa tukapaza sauti zetu kuyapinga haya mambo ambayo hayana utu wala hekima.
Rais -unauwezo wa Kutoa kauli maana hawa watu wanaofanya huu mchezo hawatoki uraiani.
Yupo wapi Thadeo ole Mushi ambaye kaondolewa kimagumashi.
Kumbe ndo wale wale endeleeniUmeenda mbali.Kiiza Besigye anakusabahi.
Mkuu ni bora Kenge yaani ni UKONOKONO.....yatakuwa yana shangaa tukama NyumbuIla siye wabongo makenge, yaani hapo palivyo na watu wengi hivyo basi mkaruhusu litokee
Aaaa wapi!Dua yako haifiki popote.Hata usawa wa paa la nyumba hola.Saa hizi kajilaza zake pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo ametulia tuuliii huku anabwia ugoro tu kama bwimbwi.Maridaaadiii!Alaaniwe jpm kwa kuasisi utekaji alaaniwe mara milioni.
Nataka utoe hasira mode.Kumbe ndo wale wale endeleeni
We jamaa akili hauna , na unajisikia amani kabisa kuandika maneno kama haya ?Si tulikubaliana tuko tayari kufa kwenye space ya Maria sarungi?
Unajua maana ya breaking news? Huwa ni habari ya awali ambayo undani wa tukio haujajulikana na unatafutwa ili habari ipanuliwe kwa kina....Toa habari ilonyooka kaka
Lakini,katikati ya mistari anatueleza tuwe na tahadhari/kujitetea kwa kadiri ya uwezo wetu dhidi ya majahil.We jamaa akili hauna , na unajisikia amani kabisa kuandika maneno kama haya ?
Ila watanzania tumezidi uwoga. Mtu anatekwaje kituko cha mabasi mbezi, watu walivyo wengi vile. Shieee!!(mshangao wa kimasai)amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.
Yeye aliwahi kufa mara ngapi hadi akakizoea kifo?Mzee wetu Ally Kibao!
Mama alisema kifo ni kifo tu.
Kumbuka hilo tukio limetokea mkoa uliopo Pwani ya Tanzania1. Milishindwa kupiga picha wahusika?
2. Mlishindwa kupiga picha gari lao?
3. Hakuna alie weza hata kuchukua video ya tukio?
4. Walikua na silaha za moto?
5. Walikua wangapi?
6. Mlishindwa kuwahoji?
7. Mlishimdwa kuwazuwia wasimchukue?
Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.
Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu
Pingu kama ilivyo silaha au uniform za polisi, inaweza kuangukia kwenye mikono ya mtu yoyote mwenye nia mbaya. Hivyo mtu kuwa na pingu siyo kigezo cha kuwa polisi. Ila ukweli bado uko pale pale. Wanaoteka watu ni vyombo vya usalama.Hivi hawa wasiojulikana huwa wanatumwa na nani, au wanaowatuma nao hawajulikani, kwani pingu wamiliki wake ni nani, au pingu yeyote anaweza kuzimiliki?