Siyo kumhoji, walioshindwa kuwaua?mlishindwa kuhoji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kumhoji, walioshindwa kuwaua?mlishindwa kuhoji?
Yule inatakiwa afe ili Hali iwe sawaYeye aliwahi kufa mara ngapi hadi akakizoea kifo?
Ambapo wenyeji huwaogopa panya road na mwizi wanamwagia maji yenye shombo la samaki ili aliwe na paka.Kumbuka hilo tukio limetokea mkoa ulipo Pwani ya Tanzania
Pingu itatoa picha.Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺
Nikisema watanzania ni kama nyumbu wa Manyara huwa mnaniambie ni kashfa. Tena nyumbu wana nafuu.Ila watanzania tumezidi uwoga. Mtu anatekwaje kituko cha mabasi mbezi, watu walivyo wengi vile. Shieee!!(mshangao wa kimasai)
Ni wahalifu wasiofuata hizo taratibuHivi utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa si uko wazi Kwa mujibu wa Sheria?
Huyo Nondo ni Katibu wa Chama, ina maana ana address yake kwamba anaishi wapi
Umeongea kweli!! hivi mtu mpaka anaingizwa kwenye gari majitu yanakuwa yanaangalia!!Simba mmoja anavamia kundi kuuuuubwa la nyumbu takribani nyumbu 600 anajichagulia mmoja wengine 559 wanasimama pembeni na kushuhudia mwenzao akitafunwa.
Picha gani mkuu wakati wahusika ni dola? Kusoma hatujui, hata picha tunashindwa kuelewa? Yaani kweli unategemea uchunguzi kwenye suala kama hili? Usiniambie kwamba hata yale mauaji ya bwana Kibao bado unasubiri uchunguzi.Pingu itatoa picha.
Pingu zote zina namba.
Ni ngumu sana. Dunia inajua silaha hatari sana ni Bunduki.Huwezi kumtisha kwa mawe adui ALIYE SHIKA BUNDUKI.
QUOTED FROM FID Q
4RsNyumbu wanasema 2025, mitano tena
Only in Tanzania..!Huwezi kumtisha kwa mawe adui ALIYE SHIKA BUNDUKI.
QUOTED FROM FID Q
Mambo mengine hutokea kwa ghafla sana plus vitisho. Mpk ukawashe data na kamera watu washaondoka. Ndiyo maana hata kwa Ali Kibao hakuna video wala picha iliyochukuliwa.Milishindwa kupiga picha wahusika?
2. Mlishindwa kupiga picha gari lao?