kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Are u sure n ccmCCM wanachokiweza ni kuteka kutesa na kuua.
Siasa imewashinda kitambo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are u sure n ccmCCM wanachokiweza ni kuteka kutesa na kuua.
Siasa imewashinda kitambo sana.
Kuna mambo unajiuliza unakosa jibu inatia hasira mno mno1. Milishindwa kupiga picha wahusika?
2. Mlishindwa kupiga picha gari lao?
3. Hakuna alie weza hata kuchukua video ya tukio?
4. Walikua na silaha za moto?
5. Walikua wangapi?
6. Mlishindwa kuwahoji?
7. Mlishimdwa kuwazuwia wasimchukue?
SidhaniMambo mengine hutokea kwa ghafla sana plus vitisho. Mpk ukawashe data na kamera watu washaondoka
IGP ni mtu mdogo sana, labda useme CDF. Lkn IGP, huwa anatumwa na RC tu.Siku akipatikana IGP mwenye akili ndio itakua mwisho wa CCM
Kwani raia walio kua kwenye Bus na mzee kibao walifanya Nini??Kuna mambo unajiuliza unakosa jibu inatia hasira mno mno
Watanganyika,waache waishi hivyo hivyo, wanasema Ruto amemsifia SecretaryKuna mambo unajiuliza unakosa jibu inatia hasira mno mno
Hivi ikitokea wanafanyiwa Jambo kama lile la enzi za boss wa Mabasi ya Zakaria watasema Wananchi wana shida?Ni wahalifu wasiofuata hizo taratibu
Msiba wa mzee kibao mbele ya waziri wa masauni alianzisha wimbo fulaniDuuuuuu mara mwisho aliandika nini ??
Mama SSH anafanya vizuri sana kwenye uongozi wake, hawa watekaji wanatia doa kazi yake nzuriHizo ndio 4R za mama sasa..
Hata kutambua kuwa ni dola tayari ni picha.Picha gani mkuu wakati wahusika ni dola? Kusoma hatujui, hata picha tunashindwa kuelewa? Yaani kweli unategemea uchunguzi kwenye suala kama hili? Usiniambie kwamba hata yale mauaji ya bwana Kibao bado unasubiri uchunguzi.
Hii ni aina au mtindo wa CCM wa kutawala, wala haihusiani na kiongozi aliyeko madarakani....kumbuka Dr. ULIMBOKA.Alaaniwe jpm kwa kuasisi utekaji alaaniwe mara milioni.
Wanaoteka na kuuwa wanafanya hivyo nje ya mifumo ya kisheria. Kwahiyo hawataki kufuata taratibu za kisheriaMe nilidhani wangeweza kumwita kwenye kituo chochote cha Polisi, ikitokea amegoma ndiyo waende wamkamate
KAZI ya kiongozi aliyeko madarakani ni kulinda raia wake.Hii ni aina au mtindo wa CCM wa kutawala, wala haihusiani na kiongozi aliyeko madarakani....kumbuka Dr. ULIMBOKA.
Tumwombee sana, ila Kwa safari hii sijui kama watamwacha haiKatika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺