Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa si uko wazi Kwa mujibu wa Sheria?

Huyo Nondo ni Katibu wa Chama, ina maana ana address yake kwamba anaishi wapi

Mnafika Kwa mjumbe wa nyumba 10 kwenye Mtaa anaoishi kisha mnaenda kumchukua.

Hiyo kumvizia stendi na kumkamata kama jambazi inazua taharuki kwamba huenda ni Wasiojulikana

Hebu Viongozi wa hayo makundi sijui ni Usalama ama Polisi Idara ya Usalama, warudie kusoma miongozo ya kazi zao.

Najua mnatekeleza majukumu yenu, lakini fuateni Sheria na taratibu za kazi zenu
Wameshakuwa bokoharamu
 
Simba mmoja anavamia kundi kuuuuubwa la nyumbu takribani nyumbu 600 anajichagulia mmoja wengine 559 wanasimama pembeni na kushuhudia mwenzao akitafunwa
 
Ben saa 8

Watamuacha kumbuka Chama chake na Chama cheti ni ndugu kabsaa ,Kwa iyo ni smu moja tuu kutoka juu dogo anaachwa , na uskute yupo sehem nzur sa hiv anakula fresh
Mbona wanasema dogo yuko Oysterbay
 
Mkuu usisema ivyo ujue Abdul ana ndugu na ni kaka wa watu,ni mdogo Ake mtu, ni mtot wa mtu ,ni mjomba wa watu pia
Kwani ben, soka,na wengine waliopotea ktk mazingira kama ya Abdul nondo hawakuwa na ndugu kama hao uliowataja?
 
Hawana maama siku zote,sasa wanaleta humu tufanyeje?kama hawawezi kujilinda basi waachane na siasa siyo kila siku nondo,nondo,
Simba mmoja anavamia kundi kuuuuubwa la nyumbu takribani nyumbu 600 anajichagulia mmoja wengine 559 wanasimama pembeni na kushuhudia mwenzao akitafunwa
 
Kwahiyo nikija na mguu wa kuku utaliwa kiboga kisa bastola tena umati mkubwa Stendi.....

Unakuja na SMG nakupimia YADI TATU.... gari linapigwa jabari la nguvu ukigeuka tu niko na wewe kama UMERUKIWA na Chuwi hiyo SMG itakohowa mpaKA jiji LITKISIKE

Piteni piteni hata Goma na Kisangani mara moyamoya hata mafunzo ya Mgambo
Nime m quote FID Q sio maoni yangu Wala msimamo wangu.

Siungi mkono Wala sikubaliani kinacho Endelea.
 
Kwahiyo nikija na mguu wa kuku utaliwa kiboga kisa bastola tena umati mkubwa Stendi.....

Unakuja na SMG nakupimia YADI TATU.... gari linapigwa jabari la nguvu ukigeuka tu niko na wewe kama UMERUKIWA na Chuwi hiyo SMG itakohowa mpaKA jiji LITKISIKE

Piteni piteni hata Goma na Kisangani mara moyamoya hata mafunzo ya Mgambo
Nime m quote FID Q sio maoni yangu Wala msimamo wangu.

Siungi mkono Wala sikubaliani kinacho Endelea
 
Back
Top Bottom