Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
 

Attachments

  • VID-20210716-WA0052.mp4
    3.1 MB
Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
kazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010

Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Wivu ndiyo unaua mwenzio? Huyu kichaa kabisa. Angechomwa na yeye zone moto unavyouma!!!!
 
Mwanamke mwenyewe mbaya. Fikiria, hapo kapaka make up, kajipodoa balaa. Na umri upo mbioni.

Bado ni mbaya tu. Je, bila make up yupo vipi?

No doubt, aliona hakuna mwingine atakayemtaka.

Hii habari imerushwa ITV ,Jamaa aliyeuliwa ni HB kweli na wamesema Marehemu alikuwa na Mwanamke mwingine aliachana na Neema.....Inaonekana Neema kama alikuwa Shugamamy kwa Dogo aliyechomwa.
 
Hatuwindani, kawaida wanaume ni watu wa kushtuka mapema, tukiona mmoja wetu amefanyiwa hivi basi amini sisi wengine tuliobaki hucheza na hisia za wenza wetu mapema!! Tukiona viashiria tu hatujiulizi mara mbili.... Hakuna anaependa kutangulizwa!

Hatari sana Mkuu , ndio maana wakati wa kulala vitu kama visu inatakiwa kufichwa maana hawa wake zetu siku anaweza akaiga tabia za wanawake wa nyeri akamkata abdallah kichwa wazi aka babu Juma.
 
Back
Top Bottom