Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nawacheck tu. Grace angechomwa moto ungeona shangwe zaoMtenda akitendwa, povu linawatoka hatari.
Amekufa kifo cha aibumkuu
huyo jamaa amechomwa moto na mchepuko ambaye ndo huyo neema.. na hata hiyo nyumba iliyochomwa moto ni ya baba yake neema.
Jamaa alikuwa na mke na watoto wawili, lakini mkewe hahusiki ni neema mchepuko ndio alinunua petrol na kupiga moto. jamaa alikuwa kinyozi anaitwa zungu
Wangefurahi na kutulaani haswaa, sasa mambo yamegeuka hawaamini majicho yao.Nawacheck tu. Grace angechomwa moto ungeona shangwe zao
Pole yao. Na huu ndio mwanzo tuWangefurahi na kutulaani haswaa, sasa mambo yamegeuka hawaamini majicho yao.
Aisee, duniani kachomwa kwa sababu ya dhambi, mbinguni tena moto mwanana unamsubiri. Ila angalau atakuwa tayari ako na uzoefu.mkuu
huyo jamaa amechomwa moto na mchepuko ambaye ndo huyo neema.. na hata hiyo nyumba iliyochomwa moto ni ya baba yake neema.
Jamaa alikuwa na mke na watoto wawili, lakini mkewe hahusiki ni neema mchepuko ndio alinunua petrol na kupiga moto. jamaa alikuwa kinyozi anaitwa zungu
Ila itabidi tubadili mbwinu, ile ya heart attack ni nzuri zaidi. Unakuwa huna kesi.Pole yao. Na huu ndio mwanzo tu
🤣🤣🤣 Kumbe Grace kakosea maana jela inamuhusu Kama sio kunyongwaIla itabidi tubadili mbwinu, ile ya heart attack ni nzuri zaidi. Unakuwa huna kesi.
Alitakiwa atulize munkari the apange shambulizi taratiiiiibu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe Grace kakosea maana jela inamuhusu Kama sio kunyongwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] very interesting.Naongezea ukishaona dada amepinda mgongo kuja mbele. Namaanisha akitembea kifua kinataka kuonekana mbele kama vile yuko kwenye gwaride. Kama unaenda kwake hakikisha suala la tako sio kipaumbele
Hiki ni kipengele kwenye hicho kifungu cha katiba hiyo
Noted.Pole yake marehemu. Lakini alishindwa nini kung'amua hatari iliyopo mbele yake iwapo alishakoswa koswa na petrol mara ya kwanza kama mwanajamvi mmoja alivyoeleza kwenye huu uzi? Pia marehemu alishindwa nini kujua mapema kama ana "date" na kichaa kabisa? Huyo mwanamke kwangu mimi ni kichaa kabisa ni wale machizi fresh ambao wapo wengi wa kike na kiume huku mitaani. Mpaka kufikia kuchoma nyumba ni lazima huyu mwanamke alishafika levo za kuongea mwenyewe kwa sauti na lazima alikuwa anataja jina la merehemu na kujiapiza mara nyingi tena kwa ubaya. Kama marehemu na watu waliokuuwa karibu naye walichukulia poa basi matokeo ndiyo hayo.
Kwa binadamu mwenye akili timamu hawezi choma nyumba ambayo ina wapangaji wengine ndani tena tunaambiwa hapa mama na mtoto walikuwa ndani chumba kingine wakatoka salama, kuna fremu ya fundi piki piki na duka la dagaa achilia mbali hasara aliyompa mmiliki wa nyumba. Mtu ambaye amewapa hasara zisizo na fidia wenzake waliodunduliza kupata mitaji kisa huyo Mario wake aliyekuwa anampa bia za bure huyo sio mzima wa akili na ni mbinafsi kwa kiwango cha juu.
Angalizo kwenye mahusiano; ukiwa mme au mke ukiona mbele hakuna mwanga basi chukua maamuzi magumu ya kuondoka au kuachana bila kujali mali, vitega uchumi na muda uliowekeza kwani uhai ni mali zaidi ya hivyo vyote. Ukipuuza na kuona ngoja nivumilie au watu watasemaje basi ndiyo hayo ya petroli na gunia za mbili za mkaa yatakukuta.
!Mkazi wa makabe anayeitwa Grace amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1856008
Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Tupeane code wakuu! Kuna kafamilia nakawindaga, sema plan zinadunda.Mkuu kumbe unajua kazi ya ndizi sukari.! Teh teh.
Mnataka league! Mnauhakika mtaiweza?[emoji23][emoji23] wanawake wa sasa hawataki ujinga, ukisaliti unasalitiwa. Ukizingua wanakuzingua. Wanaume wakae kwa kutulia na wanawake zao, vinginevyo nyuzi za lawama hazitaisha humu jamvini
Maskini dogo, tena alikua anajua adi kuendesha manual!![emoji848][emoji848]