Dar: Baba adaiwa kuwapa sumu watoto wake watatu

Dah
Jamii imelishana ujinga na kuna watu humu mitandaoni hushabikia njia za mkato za kutatua changamoto za ndoa.

Familia imepoteza baba na watoto.

Sasa kama alikuwa anamtuhumu mtoto mmoja si wake, kwa nini aliamua kuua hadi wanae halali?

Kuna jambo nikilisema hapa walami watasema naingiza siasa. Anyways wacha niseme kama mbwai iwe mbuayi

Hali duni ya uchumi wa mtu kwa mtu nchini inqpelekea sonona na mzio kuwa mkubwa
 
Kwahiyo baada ya kugundua mtoto mmoja sio wake ndiyo aamue kuua, kwani hao watoto wana kosa gani?

Biblia inasema huwezi kumuacha mke/kumtaliki isipokuwa kwa Uzinzi tu yaani kuchepuka.

Yeye alishindwa nini kumtaliki mkewe/kumuacha baada ya kugundua hayo.

Alafu yeye amewezaje ku conclude kuwa mtoto sio wake baada ya kujua kuwa hafanani naye, vipi kama anafanana na Babu yake ama ndugu yake hata wa Ukikeni huko.

Sometimes ni vyema kujipa muda wa kutafakari kabla hujafanya maamuzi yeyote mazito kama haya.

Mungu awarehemu watoto hawa na awape pumziko la milele 😭
 
Wabinafsi, Wanapenda kushindana, wanapenda vitu kuliko utu..
Wanawake ni mashetani yanayo tembea hapa duniani na tunaishi nayo mimi nawachukia sana wanawake wana roho mbaya sana i speak from experience
 
Wanawake ni mashetani yanayo tembea hapa duniani na tunaishi nayo mimi nawachukia sana wanawake wana roho mbaya sana i speak from experience
Mama yako, dada zako, mashangazi zako unawachukia pia.
 
Kabla hajafunguliwa mashitaka apimwe akili kwanza!
Ndoa za kizazi hiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…