Kilimanjaro bus usigope kusemaNgoja nikupe siri, hiki ndicho anachofanya Mtu flani hivi maarufu sana njia ya kaskazini kwa huduma bora.
Sasa ungemwambia atapa Yutong ngapi?Punguza uwongo wewe nani kakwambia ?au unaongea neno bila kulijua?wacha kurukia rukia mambo ya kiweredi
Ha ha ha haaaaaaa.. asante Mkuu, niliogopa kufuatwa PM kupewa vitisho, si unajua tena biashara za watu.Kilimanjaro bus usigope kusema
Awali alikua ana modify youtong akaona ujinga,
Sawaya ndio kichwa cha modify malori na mabasi nchi hii.
BoxBody=dump=bus=tanker=semi=pulling=boxbody kipisi
Anapata YUTONG 1 cash na analipa nusu ya jingine kwahiyo atadaiwa nusuSasa ungemwambia atapa Yutong ngapi?
Tanzania wengi wanapenda vitu vya bei rahisi bila kuangalia ubora wa hivyo vitu ndo maana utakuta watu wengi wanamiliki michina wao twende tu. Mimi ni mmoja ya watu wanafikiria ubora wa kitu dhidi ya bei yakeHapo kinachofanya bei iwe juu ni chasis na engine ni vya scania F95HB310 ni engine ya kisasa inayotumia mafuta vzr kwa pungufu ya 30% ukilinganisha na zile scania 113 series, na zinadumu kwa muda mrefu ni tofaut na engine za kichina ambazo zikikaa miaka 2-3 lazima ubadilishe uweke mashine, gear box na difu ya scania
mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Askari Trafik Zanzibar anaswa akichukua rushwa kidizainimkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Mbunge na Meya wa Moshi Mjini, wanyimwa kuingia Ikulu ndogo kuonana na Rais Magufulimkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Mkuu achana na watu wenye mawazo ya kimasikini ambao wamezoea mia tano mia tano, wakisikia mamilioni vichwa vinachanganyikiwaKweli watu mpo gizani, hapa hapa Tanzania ubungo hapo kuna bus za milion mia 7 unasema bei hiyo? Hivi unafikiri zile Marcopolo za Abood na Hood walinunua sh ngapi? Milion mia 5 na kitu, ila guarantee yake ni miaka 10.. Msione vyuma vya watu vipo road mkachukulia poa! Unazungumzia faida? Unajua scania r au g mpya ya kwenye makaratasi inauzwa bei zaidi ya hiyo iliyotajwa kwenye haya mabus? Hapo ni horse tu hujagusa trailer? Hiyo ni bei ya kawaida sana Mkuu.
Ukitaka kujua Rushwa ni adui wa kila kitu tembelea Kenyamkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Sio sababu mzigo ktk chombo unapangiliwa kutokana na nguvu yake usikurupuke ndugu kunipa sifa ambazo si haki yangu soma maelezo alonifafanulia nimemwelewa vizur mbona lor hata likiwa halina mzigo unaona kabisa halichanganyi mapemaSasa hapa umeongea bang......fikiria bas lina beba nn na lor lina beba nn
Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Taboramkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
Dah, kweli Mkuu, nimegundua humu wengi tunadharau kazi za watu, mtu akishajenga tu akawa na usafiri wake wa 25mil anaona keshamaliza, hapa wanashtuka kuambiwa bus moja tena Sio Andare, Irizah au Paradise linauzwa mil 500 kasoro, sasa hapo hapo unakuta mwanaume anavuta bus 10 au 20 kwa pamoja!Mkuu achana na watu wenye mawazo ya kimasikini ambao wamezoea mia tano mia tano, wakisikia mamilioni vichwa vinachanganyikiwa
Mim sijaona tofauti hapo bado ikojuuMkuu hapo ni karibu milioni mia 4 na kitu tayari una bus la kichina na unakopeshwa moja