Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Yaani sijui linaseleleka vichakani, au linakuwa kichakani yaani hiii nchiii hiiiKwani gari limeokotwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani sijui linaseleleka vichakani, au linakuwa kichakani yaani hiii nchiii hiiiKwani gari limeokotwaje?
Asante sana mwnyewe jana kwenye search results zilikuwa zinatokea taarifa zake tu za kupotea.Jana niliona hizi taarifa nikasema nianze kuchimba kumtafuta huyu bwana…Kwanza Hakuna alot of information kumuhusu ila nikaenda sehemu ingine nikapata kuwa aliwahi kuteuliwa mwaka 2022 kama Non executive director kuiwakilisha GOT kwenye mradi wa uchumbaji madini Mahenge. CV yake wakati anateuliwa ni kama ufuatavyo.
Danstan Mtajura Daud - Government Appointed Director Link : Black Rock Mining Limited – An emerging Tanzanian/Australian graphite miner
——————
Eng. Danstan Mtajura Daud holds a in Mineral Processing Engineering (Metallurgist) from MRI and Diplomatic in Protocol and Public Relations from Mozambique/Tanzania Centre for Foreign Relation (CRF). He is Currently Serving as a Mining Analyst and Advisor in President's Office and Monitoring and Coordinator of All Strategic Government Negotiations Team including Special Presidential Government Negotiations Team (SPGNT).
Kuanzia mwezi wa 6 ataanza kukemea na kujiweka mbali, watu waseme " Jamani raisi naye hapendi haya mambo";"Kuna watu wanamuangusha"; "anahujumiwa".Huko mbeleni mtu akija na kitabu cha kuhusu samia na mambo yanayoendelea watu wasishangae, Rais kashindwa kabisa kukemea maswala ya utekaji
Mara nyingi Kama sio zoteee ""MTOA. MSAADA NDIE HUWAGA ANAUMIA""Jiji la das-es laam ni la ajabu sana.. Mtu anatekwa mchana kweupe wanamuangalia tu., 🤒🤒🤒
Kutekwa kwa ulimboka kulikuwa na public interest kumbuka watu walikuwa wanakufa kama kuku kwenye mahospitali ila Magufuli mpuuzi aliteka na kuuwa kwa personal interest mfano ben sanane.Dr Ulimboka alitekwa na Magufuli?! Mtalia na Magufuli hadi mwaka 2125.
Aisee.Kutekwa kwa ulimboka kulikuwa na public interest kumbuka watu walikuwa wanakufa kama kuku kwenye mahospitali ila Magufuli mpuuzi aliteka na kuuwa kwa personal interest mfano ben sanane.
Mtu wa serikalini lakini idara yake haitajwi na taasisi yoyote ile!!huyu dunstan anafanya shuguli gani?
Hatari
Exactly!Tanzania hakuna utekaji wa kutaka ransom, ni watu wa TISS na kitengo maalum ndani ya polisi ndiyo huusika na utekaji. The 'protected' motherfvckers na ndiyo maana huwa wanateka openly kwa kujiamini sana, wangeshambuliwa na kuuawa ungesikia ni TRA or anything else similar to that kwamba waliowauwa wakamatwe(na wangekamatwa tu) na blah blah blah blahs kibao kuhalalisha utekaji na uuaji.
Nani anayaendeleza?Yeye ndiye aliyenzisha haya magenge ya utekaji na uuaji. Ulitaka afe nayo mkuu?