Dar es Salaam bado ni jiji la kimasikini saana! Ushahidi kwenye picha!

EXACTLY
 
Kelele za nini nimeshakuonyeas passport onyesha Yako hata 1 milion tu ya madafu🤣🤣🤣🤣🤣
Unajichekesha nini ?kweli Yas hajawahi waacha salama......Mimi sijakuuliza habari ya hela na sio lengo la uzi,kuna uzi wa kutishiana hizo account kuna wenzio walituma humu hadi 900 sasa wewe mwenye kumi nenda kasumbuane na wenzako kule mimi sina hela ila am sure naishi maisha mazuri kukupita ndio utajua hujui.....we kazana kudunduliza vibubu vya madafu wanaume wenzio wana account za Dollar......Leta passport tujue kama kweli unapajua London
 
Kumbe masikini huna haki ya kunihoji maswala ya passport kahoji mafukara wenzio🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo Covax si ungemjibia PM kama hutaki watu wakujibu? Una hoja za kitoto mno.
 
Nchi bado ni maskini. Polepole mambo yatabadilika. Huko Arusha mtaa wa Kaloleni ambao umepakana na CBD bado kuna nyumba za udongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…