Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
-
- #101
Nimeonyesha ndani ya mita 500 hali ilivyoMbona ni eneo moja tu ambalo umepiga picha tena kwa juu? Hapo ni Sinza Palestina sasa ungeenda barabara kuwa ya shekilango ukapiga picha tuone nako . Ukinaliza nenda Kigamboni, Bunju, Makongo, Mbweni, Mbezi zote mbili, Mikocheni, Magomeni, nako tuone walau kukoje.
Hii inaonyesha ukuaji wa uchumi kama kuna uwekezaji na wawekezaji hamna!Sio lazima kujenga ghorofa,kuna njia kibao tajiri anaweza invest hela zake...au haujui Dar kuna maghorofa mengi hayana wapangaji?utaona tu mabango yameandikwa"TO LET 0780 448 899"Huoni haya magorofa ni white elephant project?nenda kwenye magorofa ya serikali yapo ya magorofa kibao hawaishi watu huo ni ujanja au ujing.a?
Nilitaka niseme hilo jambo, akajifunze tenaYaani wewe ndio unaehesabu utajiri kwa kuangalia magorofa,aloooh safari bado ndefu sana
AsanteNilitaka niseme hilo jambo, akajifunze tena
Ukiwa juu ya Hilo ghorofa sehemu kubwa ya jiji Unalionaβ¦ msitafute kumkosoa amesema kweli, SISI BADO KWENYE MAJENGO MAKUBWA YA KISASA NA YENYE HADHIβ¦ kiuchumi si haba tushafika uchumi wa buluu π ππΎMbona ni eneo moja tu ambalo umepiga picha tena kwa juu? Hapo ni Sinza Palestina sasa ungeenda barabara kuwa ya shekilango ukapiga picha tuone nako . Ukinaliza nenda Kigamboni, Bunju, Makongo, Mbweni, Mbezi zote mbili, Mikocheni, Magomeni, nako tuone walau kukoje.
Hahahaah ila nyie wakuu.Sasa kama namjibu Covax Wewe umerukiaje?we jibu hoja zangu sio mimi naongea na Covax wewe unanirukia kunipanikia huoni kama hizo ni hasira baada ya kukaa Namanyere miaka yote ukiamini Dar utakuta maghorofa kama unayoyaona kwenye movie za Newyork matokeo yake hujayakuta?kwanza unavyojifanya unaiongekea London utasema unaijua ukute hata passport huna.....na ukitaka niamini upuuzi wako nionyeshe passport yako hapa
Mkuu onesha passport mada ni passport.Mbona kama umechanganyikiwa na ugumu wa maisha unaandika gazeti Ambalo halieleweki mshamba wewe unataja vijiji vya kwenu unafikiri wote tunaishi huko
Joannah π€Passport hiyo hapo nionyeshe yako halafu nitakuonyesha zaidi ya hiyo we jike dume
Utazoea tu jijiHivi nyie mnaakili timamu kweli yaani mnafananisha nyumba za chini za London na dar aisee kweli Kuna mijitu haijielewi yaani hizi takataka za dar ufananishe na London
Tuanze na wewe kwa Sasa una riport hii habari ukiwa wapi..Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Muha umevamia jijiMbona kama umechanganyikiwa na ugumu wa maisha unaandika gazeti Ambalo halieleweki mshamba wewe unataja vijiji vya kwenu unafikiri wote tunaishi huko
Inaonekana imekugusa mkuu.Shida wakiwa mkoani wanajua Dar ni magorofa matupu wakifika huku wanashangaa wakiona nyumba za chini...
Sawa mama la mamaAcha kunililia hapa. Mimi sio babako.
Sasa wewe ulidhani Dar kuna matajiri?Hii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Wewe jamaa ni mwanaume au mama au vyote Kwa pamoja?Acha kunililia hapa. Mimi sio babako.
Unawashwa?Inaonekana imekugusa mkuu.