Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Nnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sanaWatu wenye uchumi mzuri hawawezi kula kilo moja ya wali watu wawili,
Hiyo ni kweliNnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sana
Yaani unatembea na 300k mfukoni ipo tu kama dharula, yaani una 300k haina bajeti ipo ipo tu kwenye waleti home umeacha mazaga kama yote na una uhakika wa kula, basi amini huwezi kula hovyo hovyo
Kweli kabisa.Ukienda kwenye restaurant standard mfano ukaagiza ugali na sato, unaletewa kaugali kadogo sato rost mkubwa na mbogamboga lazima ushibe vizuri tu.
Lakini ule ulaji wa mjumbani kwetu ugali na nyama na finyango mbili ni lazima utakula ugali mwingi.
Kimsingi mboga hazitakiwi kupunguwa tatu na shida siyo umaskini bali uvivu wa majumbani mwetu hawataki kupika muda mrefu, mimi ni kawaida kwangu kwenye friji kabichi na mchicha bwasi kukuta vimeharibika navitupa kwenye dustbin.
Sawa, endelea kula hiyo miguu ya kuku na mishikaki ukashike jembe.Binadamu anayejielewa vizuri ndio anatakiwa kula hivyo, sio kujishindilia wali au ugali tu kama tumbo lako ni debe, kula vitu vingi vyenye virutubisho mbalimbali hakuna shida ila kujaza tumbo kwa mlo wenye virutubisho vya aina moja ni matatizo.
Kula karanga, korosho, pweza, sambusa, mishikaki, maziwa, mayai, matunda kwa muda tofauti katika siku sio kula hovyo hovyo, hivi ni aina ya vyakula vyenye virutubisho vingi muhimu lakini pia visivyo na side effects nyingi vikizidi. Kula hovyo ni ulaji wa vyakula vya sukari, junk foods na kushindilia tumbo mikate, chapati, ugali au wali katika mlo mmoja.Nnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sana
Yaani unatembea na 300k mfukoni ipo tu kama dharula, yaani una 300k haina bajeti ipo ipo tu kwenye waleti home umeacha mazaga kama yote na una uhakika wa kula, basi amini huwezi kula hovyo hovyo
Ukulima wa kushika jembe ni kilimo cha ujima cha zamani sana kilichopitwa na wakati, hakuna sifa katika kilimo cha hivyo.Sawa, endelea kula hiyo miguu ya kuku na mishikaki ukashike jembe.
Mkuu mm hata uwe umenidanganya nitafanya maana imekuwa noma sasaHayo madonda yanataka antioxidant,
Tumia alkaline kwa wingi kupitia limao, tumia pilipili usidanganywe kwamba pilipili haifai kwa hayo madonda, dawa ya moto ni moto.
Tumia na Acid reducer hayobmadonda yatakukoma kabisa, utakula misosi yote pilau, dagaa maharagwe.
Ila machungwa na juice yake achana nayo yana citric acid nyingi mbaya kwako.
Dawa yako kuu ni limao, Alkaline ndio anti diseas namba one muulize daktari yeyote unayemuamini.
Si useme tu kuwa upo Shinyanga!Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhΓ.
Hii imekaaje
Nilizani kanipiga na kitu kizito πππila tatizo linakuwa wapi hadi inatokea hivyo ??π€Yuko sahihi nimewahi ishi Tukuyu pale ni baridi nilikuwa nachapa msosi hadi najishangaa,wakati home ni Kyela kule ni joto , msosi hatufukii kihivyoo .
Unapokuwa sehemu ya baridi mwili unatengeneza joto jingi kwa hiyo huhitaji chakula kingi.Nilizani kanipiga na kitu kizito πππila tatizo linakuwa wapi hadi inatokea hivyo ??π€
Msomakuna mikoa wanakula wali alafu wanakazia na ugali ili washibe....
More scientifically π€π€π Bravo ππUnapokuwa sehemu ya baridi mwili unatengeneza joto jingi kwa hiyo huhitaji chakula kingi.
Kwa nini nikudanganye? Mimi nimevishinda vidonda vya tumbo vilitaka kunizoea nimevikomesha na nimevifanyia study ya kutosha.Mkuu mm hata uwe umenidanganya nitafanya maana imekuwa noma sasa
Hapo unakuwa unakula wali peke yake au pamoja na vyakula vingine kama nyama/samaki, mboga za majani na matunda pamoja na vinywaji?
Kisayansi hii imekaa sawa kwa sababu maeneo yenye baridi mwili unatumia nguvu nyingi kutengeneza joto, hivyo huhitaji chakula kingi kuliko maeneo yenye joto.Hali ya hewa pia huchangia....
Jotoni watu hula kiduchu
Baridini watu hufukia sana