Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nakuunga mkono mkuu malipo ni hapa hapa dunianiWanadeserve wanachokipata kwa kuwa wakati CCM inapora chaguzi walikenua meno.
Watulia hivyo hivyo sindano iingie vizuri hadi watakapopata akili ya kuikataa CCM na mambo yake yote.
Nashukuru sana Mungu kuwa leo wamepelekewa askari wa kikosi cha mbwa ambao wameenda kubomoa vile vibanda vyao ambavyo walikuwa wameshaanza kuvijenga jana.