Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

Kwasasa ni mabomu ya machozi yanatembea. Gusa vyote usiguse ugali wa maskini!
 
Kwakweli hapana ,tunahitaji lakini tunashindwa kutimiza wajibu wetu kuidai...

Tungekuwa na mizizi imara hili hili tukio ndio lingekuwa sababu ya kuingia mtaani.wenzetu huko yule machinga aliyejiua kwa moto ndio ilikuwa sababu ya wao kutimiza hitaji la mabadiliko.

Kwa haya matukio ya sasa nchini kwetu bado kidogo tu uzalendo utatushinda.
 
Ni kweli wote walikenua meno? Nadhani tunasema uongo hapa, yani wafanyabiashara wote wa karume wawe ccm?
Linapokuja suala la kuiondoa madarakani serikali kandamizi yenye Bunduki,mabomu,polisi,jeshi,TISS na kadhalika siyo suala la huyu aliikataa CCM na huyu aliikubali CCM.

Ni suala la kuungana na kuwa kitu kimoja.Ni suala la kushawishi kila mtu aikatae serikali hiyo.

Hao wachache ambao unadai kuwa waliikataa CCM kosa lao ni kwamba walishindwa kumshawishi kila mmachinga aikatae CCM pia kwa hiyo wao pia wanadeserve adhabu hii.
 
Una uhakika kuwa hao wote walikenua hayo meno?
Linapokuja suala la kuiondoa madarakani serikali kandamizi yenye Bunduki,mabomu,polisi,jeshi,TISS na kadhalika siyo suala la huyu aliikataa CCM na huyu aliikubali CCM.

Ni suala la kuungana na kuwa kitu kimoja.Ni suala la kushawishi kila mtu aikatae serikali hiyo.

Hao wachache ambao unadai kuwa waliikataa CCM kosa lao ni kwamba walishindwa kumshawishi kila mmachinga aikatae CCM pia,kwa hiyo wao pia wanadeserve adhabu hii.
 
Kubomolea watu Ni Kama kula nyama ya mtu. Huwezi kuacha.
Baada ya kuwabomolea nyumba wananchi wa Kimara Mbezi kwa kisingizio kwamba wako upinzani Sasa Ni wale wale wamachinga, wanyonge, kundi pendwa. Na Hawataishia hapo.
 
Walishindwa vipi kushawishi watu kuikataa CCM, wakati CCM walishindwa uchaguzi? Au unataka kusema ule uchaguzi CCM walishinda?
 
hali soon inaweza kuanza kuwa tete
maana jamaa wanataka wajenge soko kwa gharama zao wenyewe
 
Wamachinga Mlikataa Kuungana na CDM kuyang'oa Ma Nduli CCM Madarakani
Sasa mnavuna Mlichopanda
 
Dah! Vipigo vimeanza huko...mabomu na virungu vinatembea.
 
Apo Karume akuna machinga atarudi wakabanane gorofa zile za machinga complex na soko la ilala boma.
 
Nashauri hao Polisi waongezewe Nguvu na wanajeshi
 
Kuna watu niliwambia Magufuli aliitoa CCM, kitendo cha Watu kumuaga vile kwa uchungu ilikuwa ni mara ya mwisho Watanzania kuonewa na CCM.

Hawa wa Machinga watakuja kuvuka stage na watakuja kumuua au kumjeruhi Askari hapo Ndio Serikali itaanza kutumia nguvu excessive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…