Ubungo interchange hujaiona?Sasa Dar Kwa Lilongwe si kama dampo kubwa tuu kwani Kuna miundombinu ya Barabara kulinganisha na Lilongwe?
Dar hakuna interchange Kuna upuuzi
Ule ni msalaba ndio maana ni aibu hata kuonesha 😂😂Ubungo interchange hujaiona?
Mimi nimeishi Ulaya lakini siwezi kuidharau Dar Es Salaam
Lakini mkoani wengi hata pesa ya kununua mavazi hawanaHalafu maskini wa Dar ni ngumu kuwatambua wanajitahidi kujificha kwenye mavazi
Ushamba tu wa huyo DogoHata kama Nidharau Lilongwe ulinganishe na Dar
Kisa Hiyo Round kweli Huijui Dar ww
Hata ipite miaka 50 hakuna mkoa wa kuja kuipita Dar Es SalaamUle ni msalaba ndio maana ni aibu hata kuonesha 😂😂
Harafu Big Dar is Slum City 🤪🤪
Kwani Kuna mtu amesema Kuna Mkoa utaipita Dar.Hata ipite miaka 50 hakuna mkoa wa kuja kuipita Dar Es Salaam
Wabunge wenu wote wana nyumba hapa
Duh!, Mkuu naona vijana wa Dar wanakuumiza sasa uwaonapo wametinga kwenye vibukta, pensi na sandals wakitafuna chips😀😀Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Sasa hapa kuna maajabu gani ya kulinganisha na Dar?Dar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
Niletee Barabara kama hizo hapo Dar is SlumSasa hapa kuna maajabu gani ya kulinganisha na Dar?
Mbona mnazunguka sana yeye amesema muonyesheni mfano wa hiyo hapa darSasa hapa kuna maajabu gani ya kulinganisha na Dar?
Yaani uishi ulaya halafu uone dar ni pazuri wewe vipi?Ubungo interchange hujaiona?
Mimi nimeishi Ulaya lakini siwezi kuidharau Dar Es Salaam
Sasa mbezi ya Kimara, Kinondoni, kitunda na kariakoo kuna kipi cha ajabu.Mbagala siyo Dar
Nenda masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, mbezi beach, posta, kkoo, kinyerezi, Kigamboni, mbezi ya kimara, kawe, kinondoni, mwanagati kitunda, ubungo, mwenge, Sinza, bunju
Ni ushamba tu unawasumbua na kukosa exposure lakini dar hakuna lolote la maana.Wewe unaona Dar Kuna miundombinu gani ya barabara kuifikia hiyo Lilongwe? Sijataja Blantyre.
Onyesha Interchange kama hizo hapo Dampo la Dar
Hakuna chochote cha maana.Dar ni mji mkubwa! Ila honestly hauna mandhari wala mvuto wowote!
Utakitaka uijue dsm ingia karakoram Upottee kwanza urudi hapa tongee.Dar ni likijiji likubwa