min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ila njombe kwel ni pazuri ukishayapatia maisha.Watu wa mkoani chuki dhidi ya Dar itawatafuna milele daima.Mkuu we Isifie njombe yako hujazuiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila njombe kwel ni pazuri ukishayapatia maisha.Watu wa mkoani chuki dhidi ya Dar itawatafuna milele daima.Mkuu we Isifie njombe yako hujazuiwa.
Majibu yapi Bimkubwa kwani anasema uongo? hakuna chochote cha ajabu kwenye mji huu ni vile tu watu hawana exposure hawataki kutembea hata kidogo kwahiyo wanaona wanaishi kwenye bonge la jiji kumbe mji wa kawaida tu.Mimi jwetu Dar, sijakuelewa hoja yako haswa ni nini? Umechanganya mambo chungu nzima.
Twende taratibu wenye jiii letu tukupe majibu.
Niliendaga njombe nikapikiwa majani ya maboga yametiwa karanga,pilipili nikala na ugali🙂Ila njombe kwel ni pazuri ukishayapatia maisha.
Majani ya maboga matamu sana kwenye mboga zangu hiyo ya kwanza matembele yanafuata.Niliendaga njombe nikapikiwa majani ya maboga yametiwa karanga,pilipili nikala na ugali🙂
Ule msosi ni mtamu hadi huwa unanijia ndotoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilipo fika Stendi ya Mbagala siku imenyesha mvua,then nikaenda kwenye vyoo kukojoa......palivyo pachafu.Toka hapo nikapazereuuu sana Dasalamuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimkumbuka kitu nimechekaa mno.Ule ni msalaba ndio maana ni aibu hata kuonesha [emoji23][emoji23]
Harafu Dar is Big Slum City [emoji2957][emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mbezi ya Kimara, Kinondoni, kitunda na kariakoo kuna kipi cha ajabu.
Cocastic mbona unacheka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nafurahi tyuuhCocastic mbona unacheka?
Na wewe huko mkoani ulipo Kuna kipi cha maana?Sasa mbezi ya Kimara, Kinondoni, kitunda na kariakoo kuna kipi cha ajabu.
Kama unaishi mbagala au gongolamboto hayo ni ya kawaidaUtakitaka uijue dsm ingia karakoram Upottee kwanza urudi hapa tongee.
Kiukweli kama si majukumu ningetoka dsm nikaishi mji mwingine na maisha yaendelee
Dsm sio ishu ya kuwa jiji dsm Inakera sana.
Kurushiwa maji machado, yaani mji huwez hata ukatoka ukafanya evening walk.
Huwez ukatoka uende kwenye busting ukakae usome.kitabu.
Mji kelele.
Uchawi
Wizi
Ubakaji
Uchangudoa
Foleni
Vizuri kama unafahamu kuwa hakuna mkoa utakaokuja kuipita DarKwani Kuna mtu amesema Kuna Mkoa utaipita Dar.
Ila ukweli utasalia kwamba Dar is Big Slum na Kwa taarifa Yako tuu shobo za watu kuhamia Dar hazipo tena ,ilikuwa Zamani wakati mikoani hakuna Miundombinu na Huduma ila Kwa Sasa the story is telling something opposite.
Mimi nipo dar mkuu! acha ujinga kudhani kila anaishi dar lazima aisifie.Na wewe huko mkoani ulipo Kuna kipi cha maana?
Soma Tena hiki kipande.Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana
Kwani dar sio mkoa? Dar pia ni mkoani. Ukiwa nje ya dar panaitwa mkoani.Watu wa mkoani chuki dhidi ya Dar itawatafuna milele daima.Mkuu we Isifie njombe yako hujazuiwa.
Ni yangu Mimi au ndio uhalisia wake? Huoni hata matokeo ya sensa lugha yanayoongea?Vizuri kama unafahamu kuwa hakuna mkoa utakaokuja kuipita Dar
Hayo mengine ni yako wewe
Wewe kweli ni chiziNi yangu Mimi au ndio uhalisia wake? Huoni hata matokeo ya sensa lugha yanayoongea?
Hiyo Dar itakuwa Jiji kubwa Kwa watu wengi ila sio Kwa ubora wa Maisha na mambo kama hayo.
Moja ya Miji Bora ya kuishi ijayo ni Dodoma.
Unaposema Dar hakuna cha ajabu unamaanisha nini? Ajabu kwako ni kitu gani?Mimi nipo dar mkuu! acha ujinga kudhani kila anaishi dar lazima aisifie.