Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👊👊👊🙏 Gonga tano.
Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Hata kama kweli walikuwa ni Wahalifu, hawakustahili kuuawa na Polisi kwa namna hiyo. Kwa kuwa tayari walishawatia mbaroni na walikuwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi, basi walitakiwa kufikishwa Mahakamani ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi. Aidha, Katiba yetu iliyopo bado haijafuta adhabu ya kifo, hivyo endapo kama hao vijana Wana makosa yanayostahili adhabu ya kifo, basi Jeshi la Polisi lilitakiwa kuwasilisha ushahidi usio na shaka Mahakamani ili watuhumiwa hao waweze kutiwa hatiani na mwishowe walitakiwa kunyongwa chini ya mfumo wa Mahakama baada ya tuhuma zao kuthibitishwa. Huu ndio utaratibu uliotakiwa na unaotakiwa kufuatwa na Jeshi la Polisi, lakini siyo kujitwalia Mamlaka mikononi mwao ya Kuua watu bila ya idhini ya Mahakama.Rekodi za hao vijana zikoje?
Alafu vingunguti kipande hicho kina uhuni,usela mav sana huko watu wanakabwa asubuhi na mapema
Watu wakuona
Ova
Huu ni utaratibu wa miaka mingi unatumiwa na Polisi, ukisumbuwa Sana wanamalizana na wewe tu basi.Hata kama kweli walikuwa ni Wahalifu, hawakustahili kuuawa na Polisi kwa namna hiyo. Kwa kuwa tayari walishawatia mbaroni na walikuwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi, basi walitakiwa kufikishwa Mahakamani ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi.
Unawajuwa wahuni wa vingunguti lakini?Hata kama kweli walikuwa ni Wahalifu, hawakustahili kuuawa na Polisi kwa namna hiyo. Kwa kuwa tayari walishawatia mbaroni na walikuwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi, basi walitakiwa kufikishwa Mahakamani ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi.
Huko vingunguti watu wanakabwa asubuhi na mapema huku raia wakiangaliaHuu ni utaratibu wa miaka mingi unatumiwa na Polisi, ukisumbuwa Sana wanamalizana na wewe tu basi.
Tena hao ni Kwa sababu walichukuliwa wakionekana, ukifinywa kimyakimya hata maiti yako haitokaa ionekane.
Nyinyi hamjakutana na wahanga wa matukio ya kihalifu wengine wamebakwa mbele ya Baba zao kabisa.
Na huko mkoani Kilimanjro,kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa kwenye kituo cha polisi cha Uru Mawella,Cornel Chuwa,amefariki dunia kwa kile polisi wanchodai alijinyonga akiwa mahabusu.Inasikitsha sana
R.I.E.P. Vijana
Utafiti unahitajika.story NI ya upande mmoja Tu.Sahihi kabisa, tena mahakama ndio iwahukumu na sio polisi waliowakamata.
Kama Dangote Wa ArushaTupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Umma/wananchi wanawafahamu watu wahalifu ambao wamekuwa wakijihusisha na uhalifu mbaya dhidi yao, hao hata wakiuawa na Polisi huwezi kusikia malalamiko ya hovyo yasiyokuwa na msingi kutoka kwa wananchi. Kwa sababu wananchi wenyewe kwa wingi wao wanakuwa tayari wameshawachoka wahalifu hao, kwenye hili ninayo mifano mingi iliyo hai.Huu ni utaratibu wa miaka mingi unatumiwa na Polisi, ukisumbuwa Sana wanamalizana na wewe tu basi.
Tena hao ni Kwa sababu walichukuliwa wakionekana, ukifinywa kimyakimya hata maiti yako haitokaa ionekane.
Nyinyi hamjakutana na wahanga wa matukio ya kihalifu wengine wamebakwa mbele ya Baba zao kabisa.
Polisi wanaruhusiwa kujichukulia sheria mkononi?Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Kama ni Mharifu, anaruhusiwa kwa mujibu wa Sheria za Raia wema!Aiseee yaani Askari anaruhusiwa kupiga raia amabaye hana silaha kwa sababu tu amehoji?
Tutafika tu, hali ilishakuwa mbaya!
Anaruhusiwa hata kama ajagoma? Unampiga risasi sababu kahoji?Kama ni Mharifu, anaruhusiwa kwa mujibu wa Sheria za Raia wema!
Kama walivyo celebrate kwa Joshua?Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Bila kukusahau wewe pia.
Siyo kila kitu ni PGO, huna knowledge yoyote ya mtaani kinachoendelea, unavyorudi salama shukuru, kuna watoto ni wabaya Sana ukiambiwa mambo Yao huwezi kuamini, wanapiga bunduki kuliko PolisiPolisi wanaruhusiwa kujichukulia sheria mkononi?
Ngoja nisubiri ripoti ya polisiSiyo kila kitu ni PGO, huna knowledge yoyote ya mtaani kinachoendelea, unavyorudi salama shukuru, kuna watoto ni wabaya Sana ukiambiwa mambo Yao huwezi kuamini, wanapiga bunduki kuliko Polisi