John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Ripoti zao nyingi, at least 99% ni za kupikwa. Hazina ukweli wowote ule.Ngoja nisubiri ripoti ya polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ripoti zao nyingi, at least 99% ni za kupikwa. Hazina ukweli wowote ule.Ngoja nisubiri ripoti ya polisi
Are you sure?R.I.P PANYA ROAD
Yani kama ni Kibaka, hata kabla hajauliza kwa nini nakamatwa, anaweza kupigwa Risasi Vizuri tu.Anaruhusiwa hata kama ajagoma? Unampiga risasi sababu kahoji?
Tuonyeshe hii sheria mkuu tujifunze mimi binafsi nilikuwa sijui.Yani kama ni Kibaka, hata kabla hajauliza kwa nini nakamatwa, anaweza kupigwa Risasi Vizuri tu.
Mnalalamika mara Hamas mara Israeli wakati wenyewe kwa wenyewe huku mnauawana hovyo tuu...
Tulia kwanza ww .Hata kama kweli walikuwa ni Wahalifu, hawakustahili kuuawa na Polisi kwa namna hiyo. Kwa kuwa tayari walishawatia mbaroni na walikuwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi, basi walitakiwa kufikishwa Mahakamani ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi. Aidha, Katiba yetu iliyopo bado haijafuta adhabu ya kifo, hivyo endapo kama hao vijana Wana makosa yanayostahili adhabu ya kifo, basi Jeshi la Polisi lilitakiwa kuwasilisha ushahidi usio na shaka Mahakamani ili watuhumiwa hao waweze kutiwa hatiani na mwishowe walitakiwa kunyongwa chini ya mfumo wa Mahakama baada ya tuhuma zao kuthibitishwa. Huu ndio utaratibu uliotakiwa na unaotakiwa kufuatwa na Jeshi la Polisi, lakini siyo kujitwalia Mamlaka mikononi mwao ya Kuua watu bila ya idhini ya Mahakama.
Kamwe, suala hili halikubaliki mahali popote pale, siyo duniani wala siyo mbinguni!
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."( Martin Luther King Jr.)
Unajua maana ya utawala wa sheria? Kama polisi wakiendelea kuwaua raia kihuni hivi na wananchi wenye hasira nao wakawaiga nchi hii itakalika? Usishabikie upumbavu mkuu.Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Ili tubadilike na maendeleo mengine yafuatane lazima utawala wa Sheria uheshimiwe.Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Wanaume wakiwa kazini tuliza kijambio utakuja kufilimbwa.PoliCCM wamefanya yao tena? Hivi hawa mbwa ni lini wataacha kuwaua raia wasiokuwa na hatia?
Ndio waue Kwa staili hiyo? Je kama ni visasi au visa vya wake za watu n.k?Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.
Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
[emoji23]Hahaha Mimi ni myahudi tu akiuwawa napaza sauti.
sisi hapa kibaha polisi walitimba na silaha baada ya kupigiwa simu na raia kuwa kuna jamaa amemjeruhi nduguye na mapanga, askari walitaka kumuwasha jamaa risasi ila walimbeba na kuondoka nae ila hatuna feedbacks mpaka sasaAiseee yaani Askari anaruhusiwa kupiga raia amabaye hana silaha kwa sababu tu amehoji?
Tutafika tu, hali ilishakuwa mbaya!
Weledi Ni pamoja na kutuondolea vibaka uraianiYaani hay mambo tunasoma kama hadithi,ila unaeza shangaa siku yametugusa direct sisi au familia zetu...Jeshi la police lifanye kazi Kwa weredi