Dar es Salaam: Vijana wawili wafariki mikononi mwa polisi

Arusha ndo balaa, vijana wanapewa vilema na kuuawa sana.

Kuna siku kidogo nidakwe aisee nilikimbia kidogo nigongwe na gari[emoji1787]

Eti nimekosea kuvuka barabara kidogo anigonge na defender yake akataka anipakize, kidogo nijikojolee

[emoji81] Pole sana Mkuu, Nime imagine the situation, nimeishia kucheka tu.
 
Police hawa hawa ndio wanasema tukiwa na mali yenye gharama kama madini au hela nyingi tuombe ulinzi kwao.
 
Arusha ndo balaa, vijana wanapewa vilema na kuuawa sana.

Kuna siku kidogo nidakwe aisee nilikimbia kidogo nigongwe na gari🤣

Eti nimekosea kuvuka barabara kidogo anigonge na defender yake akataka anipakize, kidogo nijikojolee
kumbe ndio ww siku ile ulikimbia

bahati yako maana tungekufinya kende 😂
 
Hakuna polisi hapo, na kama wapo basi wahanfmga wana hatia.
 
Arusha ndo balaa, vijana wanapewa vilema na kuuawa sana.

Kuna siku kidogo nidakwe aisee nilikimbia kidogo nigongwe na gari[emoji1787]

Eti nimekosea kuvuka barabara kidogo anigonge na defender yake akataka anipakize, kidogo nijikojolee

[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wakubebe bila sababu ya msingi
Au mwenzetu una turasta twa kiduku kichwani

Pole sana lakini.
 

Ulichokisema ni kweli, ila kwa mantiki hiyo polisi atakua hana tofauti na mhalifu.
Mpaka umepewa mafunzo ya kipolisi lazma kuwe kuna namna ya kupatikana ushahidi ili ahukumiwe kihalali.
Bas wavunje magereza ili wahalifu wakikamatwa wawe wanapigwa risasi chap chap wasipoteze muda.
 
Mpuuzi mkubwa utakuja kufirŵa wewe na kuuawa kama mbwa liwe fundisho kwa wengine.
Wanaume wakiwa kazini tuliza kijambio utakuja kufilimbwa.

Kwani ukisikia askari basi ni polisi tu?!

Tuwe na subira wakati tukisubiri taarifa kamili.
 
Weledi Ni pamoja na kutuondolea vibaka uraiani
Sitetei vibaka,ila sikubaliani na huu uhuni wa kuua watu hovyo na kutoboa macho Kisha kutelekeza miili bila maelezo yeyote....ni rahisi sana ikitokea Kwa mwenzio ila siku ukiguswa ndio utaelewa ninachozingumzia
 
Hata kama wangekuwa ndugu zangu au wanangu kama ni watukutu na wanawaumiza watu wengine basi ni heri wakutane na mkono wa chuma
Kweli we much know!umeshajua Kwa Nini hao vijana wameuwawa?
 
Tena wale watukutu wanawamaliza kimya kimya tu

Ova
Sitetei vibaka,ila sikubaliani na huu uhuni wa kuua watu hovyo na kutoboa macho Kisha kutelekeza miili bila maelezo yeyote....ni rahisi sana ikitokea Kwa mwenzio ila siku ukiguswa ndio utaelewa ninachozingumzia
Alichoelezea Joannah ndicho nilitaka nikujibu
 
CHAI YA MAZIWA YA MOTOO
 
Tena wale watukutu wanawamaliza kimya kimya tu

Ova
Kuna mmoja mwaka wa 5 huu haonekani.
Ndugu wanaogopa hata kumwulizia.
Ye polisi ilikua nyumbani,na anawapa vitasa njia nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…