Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Potelea maporomokoni.

Yaani mtu mumtukane tu awaangalie eti kwa kuwa mlidhani ni mcha Mungu?? Never on earth.

Miongoni mwa mafundisho ya mwanzo kabisa mtu anayopaswa kuyapata ni namna ya kutuma heshima yake.

Kuna msanii aliimba "utanipa heshma yangu au nitaichkua kwa nguvu"

Yaani nyinyi watu hamtaki kabisa kuongozwa kistaarabu. Mnataka muongozwe kama mapunda. Sasa si mnaleta undezi?? Hatutaki kuskia vilio pale mambo yakipamba moto
🕺🕺Utanipa heshima yangu eee ,au nitaichukua kwa nguvu × 2🕺🕺💃💃
 
Prof. Mussa Assad : Katiba Mpya Ni Lazima, Bila Katiba Mpya Nchi Itazidi Kuathirika. Katiba inaweka mipaka, bila katiba Mpya viongozi wanakosa mipaka.... na ni muhimu kulifanya sasa hivi kutokana na tuliyopitia na kuyaona hivi karibuni ... kipindi cha hivi karibuni hakikuwa kizuri sana... na ndiyo maana katiba katiba Mpya inatakiwa ili kuweka mambo sawa ..


Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba hata Sisi tunaitaka katiba mpya. Tunaitaka sana tu.

Lakini hatuwezi vumilia mumtukane rais wetu, Mheshimiwa rais amesema apewe muda hilo analishughulikia. Nyinyi mnataka afanye mnavyotaka nyinyi?????

Hilo haliwezekani. Mama atafanya vile anavyoona yeye inafaa. Kama mnataka kumlazimisha haya go ahead mlazimisheni.
 
🤣🤣
Mkuu hao jamaa wanakong'oli mno....

Nakumbuka walimkong'oli kaka yetu mmoja kiharakati kipindi akiwa Kiongozi wa CHUO KIKUU mpaka kushindwa kutembea na kutambaa Kama NYOKA kule HESLB....Leo ndugu huyo ni "DC" mikoa ya kusini ha ha ha ha

#KaziIendelee
Hakika huyo ni Julius Mtatiro
 
Swadakta.....

Itafika siku hata WALIOKUWA wakipinga misimamo ya Hayati JPM dhidi ya "jamaa hao" wataelewa tu.....

Kule kwa MTOGOLE, UJI WA MWANA na kwa MANJUNJU wanasema "mwana kuliget mwana kulifind" 🤣
Bro wacha nilale mimi.

Nimetoka zangu kulinda nchi nakutana na uzi wa kiduwanzi huu.

Kazi inaendelea kesho in shaa Allah
 
🤣🤣🤣

Mkuu BAK una maneno makali sana.....

Hivi mh.SSH huo udhalimu ameuanza lini ?!!

Hivi kweli DHALIMU anaweza kwenda Kenya kumuona mh.TL akiwa mgonjwa?!!!

Hivi kweli DHALIMU anaweza kushajiisha kesi ZIISHE mahakamani kwa KUENDESHWA na kutolewa hukumu haraka KULIKOPELEKEA Mh.Mbowe kushinda.....Mdude Nyagali kushinda...Sabaya kukamatwa....CDM kurudishiwa milioni 300.....Uamsho kutolewa....Singh Seth kufanya PLEA BARGAIN...na wengine wengi tu.....looh kweli MDOMO JUMBA LA MANENO.....🤣🤣🤣
usipoteze muda kujibizana na wajinga watakugharimu buree
 
Back
Top Bottom