Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Sheikh umeanza kutengeneza zile movies zenu mithili ya "director" James Cameron wa "Titanic" ee?Samia is moving very quickly in the opposite direction. Kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh umeanza kutengeneza zile movies zenu mithili ya "director" James Cameron wa "Titanic" ee?Samia is moving very quickly in the opposite direction. Kwa nini?
ngoja power Sabaya ayashinde kesi haya hafu aje tujenge chama cha upinzani kinachojitambuaMnoooooo💪👊
🤣🤣ngoja power Sabaya ayashinde kesi haya hafu aje tujenge chama cha upinzani kinachojitambua
Kesi zote sita anazipanguajengoja power Sabaya ayashinde kesi haya hafu aje tujenge chama cha upinzani kinachojitambua
Mkuu sabaya aje kwenye Chama cha kuisaidia serikali kwenye mambo nyeti kama vita dhidi ya Rushwa, yaani sheria ya kwanza ya Newton inasema nguvu chanya ya nje huleta mabadiliko chanya sasa upinzani tulionao una nguvu hasi tunataka nchi itulie🤣🤣
Mkuu kwa hiyo Sabaya akitoka anatukimbia CCM ?!!!
Mmmmh 🤣🤣
🤣🤣Mkuu sabaya aje kwenye Chama cha kuisaidia serikali kwenye mambo nyeti kama vita dhidi ya Rushwa, yaani sheria ya kwanza ya Newton inasema nguvu chanya ya nje huleta mabadiliko chanya sasa upinzani tulionao una nguvu hasi tunataka nchi itulie
Nia yetu ni kuwasukuma viongozi wa CCM wanaojisahau kwa sababu tukiwa wana CCM woote tutaogopa kumkosoa mwenyekiti inahitajika external force yenye constructive ideas🤣🤣Ha ha ha komredi buaanaa....
Ilikuwepo CCJ....
Ilikuwepo CCK...
Magufuli ataishi ndani ya CCM mkuu.....
#AliianzaKazi
#LeoInaendelea
Mnoooooo💪👊
Baada ya Mwamba Mbowe kuwasili polisi wamekimbia na Hafla ya bawacha inaendelea , Pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinuMnoooooo💪👊
zilifika 8 na kuna taarifa ziko 4 za ubakaji zinakujaKesi zote sita anazipanguaje
Hao ndio viongozi wa CCM na wako wengi sana kama huyo umbwazilifika 8 na kuna taarifa ziko 4 za ubakaji zinakuja
Mkuu huchoki tu,au we ndo mama mwenyewe?.Mkuu kazi ya POLISI ni miongoni mwa hizo kaka.....
Jana MBOWE AMENG'AKA kwa JAZBA KALI....
Akafuatiwa na Mh.Tundu Lissu kwa KUMSHAMBULIA RAIS na kumfananisha na hayati JPM Kikebehi na Kedi tele....
Leo BAWACHA wanakutana...
Hata ingekuwa wewe ndiye AFANDE MULIRO....usingetaka KUUNGANISHA DOTS na KUANTICIPATE yajayo ?!!!
Mkuu, tafakari vizuri.Jana tumefanya kongamano zuri la Katiba, na dunia imekupongeza kwa sababu polisi hawakutusumbua. Lakini leo hawa akina mama wanasumbuliwa? What happened?
Mkuu banaa 🤣🤣🤣Mkuu huchoki tu,au we ndo mama mwenyewe?.
Sawa nkadhani mama nae amekuwa nocturnal.Mkuu banaa 🤣🤣🤣
Hapana mimi Brown mkuu....ID yangu sio feki mkuu wangu
🤣🤣Baada ya Mwamba Mbowe kuwasili polisi wamekimbia na Hafla ya bawacha inaendelea , Pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinu
Ha ha ha ulidhani mama ni mwenzetu TEAM POPO?!!Sawa nkadhani mama nae amekuwa nocturnal.
Ila anaupiga mwingi mama.