Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
πΊπΊUtanipa heshima yangu eee ,au nitaichukua kwa nguvu Γ 2πΊπΊππPotelea maporomokoni.
Yaani mtu mumtukane tu awaangalie eti kwa kuwa mlidhani ni mcha Mungu?? Never on earth.
Miongoni mwa mafundisho ya mwanzo kabisa mtu anayopaswa kuyapata ni namna ya kutuma heshima yake.
Kuna msanii aliimba "utanipa heshma yangu au nitaichkua kwa nguvu"
Yaani nyinyi watu hamtaki kabisa kuongozwa kistaarabu. Mnataka muongozwe kama mapunda. Sasa si mnaleta undezi?? Hatutaki kuskia vilio pale mambo yakipamba moto
Mh.Rais SSH alituambia....hivi majumbani kwetu hakuna WAZAZI...Hakuna MAMA?!!!Haki ya kukusanyika ili mtukane watu sio????
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba hata Sisi tunaitaka katiba mpya. Tunaitaka sana tu.Prof. Mussa Assad : Katiba Mpya Ni Lazima, Bila Katiba Mpya Nchi Itazidi Kuathirika. Katiba inaweka mipaka, bila katiba Mpya viongozi wanakosa mipaka.... na ni muhimu kulifanya sasa hivi kutokana na tuliyopitia na kuyaona hivi karibuni ... kipindi cha hivi karibuni hakikuwa kizuri sana... na ndiyo maana katiba katiba Mpya inatakiwa ili kuweka mambo sawa ..
Hakika huyo ni Julius Mtatiroπ€£π€£
Mkuu hao jamaa wanakong'oli mno....
Nakumbuka walimkong'oli kaka yetu mmoja kiharakati kipindi akiwa Kiongozi wa CHUO KIKUU mpaka kushindwa kutembea na kutambaa Kama NYOKA kule HESLB....Leo ndugu huyo ni "DC" mikoa ya kusini ha ha ha ha
#KaziIendelee
HaswaaaaaπΊπΊUtanipa heshima yangu eee ,au nitaichukua kwa nguvu Γ 2πΊπΊππ
Wanalolitafuta watalipataMh.Rais SSH alituambia....hivi majumbani kwetu hakuna WAZAZI...Hakuna MAMA?!!!
Inakuwaje mama ANAKOSOLEWA KWA kedi ,dhihaka na matusi?!!!
Maweeeeee......
Jana tu TUNDU LISSU ameanza kedi kwa mh.Rais SSH.....ππ
Swadakta.....Wanalolitafuta watalipata
"Mstari mnyooooofuuuuu"....Haswaaaaa
π€£π€£π€£π€£Hakika huyo ni Julius Mtatiro
Bro wacha nilale mimi.Swadakta.....
Itafika siku hata WALIOKUWA wakipinga misimamo ya Hayati JPM dhidi ya "jamaa hao" wataelewa tu.....
Kule kwa MTOGOLE, UJI WA MWANA na kwa MANJUNJU wanasema "mwana kuliget mwana kulifind" π€£
Pole kwa uchovu na hongera kwa majukumu ya kulijenga taifa....Bro wacha nilale mimi.
Nimetoka zangu kulinda nchi nakutana na uzi wa kiduwanzi huu.
Kazi inaendelea kesho in shaa Allah
usipoteze muda kujibizana na wajinga watakugharimu bureeπ€£π€£π€£
Mkuu BAK una maneno makali sana.....
Hivi mh.SSH huo udhalimu ameuanza lini ?!!
Hivi kweli DHALIMU anaweza kwenda Kenya kumuona mh.TL akiwa mgonjwa?!!!
Hivi kweli DHALIMU anaweza kushajiisha kesi ZIISHE mahakamani kwa KUENDESHWA na kutolewa hukumu haraka KULIKOPELEKEA Mh.Mbowe kushinda.....Mdude Nyagali kushinda...Sabaya kukamatwa....CDM kurudishiwa milioni 300.....Uamsho kutolewa....Singh Seth kufanya PLEA BARGAIN...na wengine wengi tu.....looh kweli MDOMO JUMBA LA MANENO.....π€£π€£π€£
Ahsante mkuu.Pole kwa uchovu na hongera kwa majukumu ya kulijenga taifa....
In shaa Allahu Aaamin!
Alamsik binnour komredi!
ππππ
Mama anaupiga mwingine mnooMungu mbariki Profesa Assad
wasimbe hao walishashindikana na waume zaoKwahiyo dakika 30 hazitoshi kula ukanawa mikono kwa sabuni ukaondoka kwenda kumhudumia mumeo nyumbani ???
πAhsante mkuu.
Alamsik
π€£π€£Ha ha hawa
wasimbe hao walishashindikana na waume zao
MnooooooπͺπMama anaupiga mwingine mnoo